Kapinga atangaza fursa za uwekezaji nchini Saudi Arabia

Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesema Kongamano la Wafanyabiashara na Wawekezaji nchini Saudi Arabia litaongeza uwekezaji kwenye Sekta ya Nishati kutokana na Tanzania kuzinadi fursa zilizopo kwenye maeneo mbalibali ikiwemo Gesi Asilia, Umeme na Nishati Safi ya Kupikia.   Mhe. Kapinga amesema hayo katika Kongamano la Wafanyabiashara na Wawekezaji zaidi ya 250 kutoka…

Read More

Majaliwa kukabidhi nyumba 109 za kisasa kwa waathirika wa tope Hanang’

Hanang’. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa anatarajia kukabidhi nyumba 109 za kisasa kwa waathirika wa maporomoko ya matope, zilizojengwa kwenye Kitongoji cha Waret, Gidagamowd mkoani Manyara. Nyumba hizo zimejengwa kutokana na ahadi ya Rais Samia Suluhu Hassan alipofika mji mdogo wa Katesh kutoa pole kutokana na maporomoko ya matope yaliyosababisha maafa kwa wananchi. Mkuu wa Mkoa…

Read More

WAWEKEZAJI WAKARIBISHWA KAGERA – Mzalendo

*Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati* Wawekezaji kutoka ndani na nje ya nchi wamekaribishwa kuwekeza mkoani Kagera kufuatia hatua mbalimbali za utekelezaji wa miradi ambazo mkoa wa huo umefikia ikiwa ni pamoja na mipango ya maendeleo na fursa nyingi za uwekezaji zilizopo. Mkoa wa Kagera ni wa pili kwa uzalishaji wa…

Read More

Ujenzi wa mradi wa kufua umeme wa bwawa la Julius Nyerere wafikia asilimia 99.55

Uongozi wa Shirika la Umeme Tanzania ( TANESCO) Desemba 19, 2024 umetembelea Mradi wa Kufua umeme wa Bwawa la Julius Nyerere kujionea kasi ya maendeleo ya ujenzi unavyoendelea na kuweka mkazo kwa wasimamizi kuhakikisha usimikaji wa mashine nne zilizobakia unafanyika ipasavyo ili umeme utakapozalishwa uingizwe kwenye Gridi ya Taifa kwa mafanikio yatakayoleta tija inayotarajiwa kwa…

Read More

PEP kingatiba dhidi ya VVU iko hivi

Kitabibu PEP ni kifupisho cha Post Proplaxis Exposure, ni mwongozo wa matibabu kwa kutumia dawa za kufubaza makali ya virusi, ARVs kama kingatiba dhidi ya virusi vinavyosababisha Ukimwi. Zinatumika mara baada ya kuingia katika hatari kubwa ya maambukizi ya VVU. Neno “prophylaxis” kitabibu linamaanisha kuzuia kuenea kwa maambukizi au ugonjwa kwa kutumia dawa kama kingatiba….

Read More

Ni mwaka wa matibabu ya kibingwa na mbinu mpya

Dar es Salaam. Utoaji wa huduma za matibabu ya kibingwa umeendelea kuimarika nchini na mwaka 2024 Tanzania imeshuhudia ongezeko la mbinu mpya za matibabu, zilizoenda sambamba na ukuaji wa teknolojia ya matibabu duniani. Huduma hizo bobezi zilizoanzishwa mwaka huu nchini ni upandikizaji wa mimba kwa njia ya In Vitro Fertilization (IVF) katika Hospitali ya Taifa…

Read More

Jinsi familia zinavyoweza kushiriki kudhibiti kisukari

Watu wa karibu kama familia, wazazi, watoto, mke na mume na ndugu wa karibu wana jukumu kubwa la kusaidia na kumtunza mgonjwa wa kisukari ili kuhakikisha kwamba anapata huduma bora. Kisukari ni ugonjwa unaoweza kubadilisha kabisa mfumo wa maisha wa mgonjwa, na mara nyingi, athari za ugonjwa huu haziishii kwa mgonjwa pekee, bali pia zinahusisha…

Read More

KenGold yashusha majembe | Mwanaspoti

KICHAPO cha mabao 2-0, ilichokipata KenGold juzi dhidi ya Simba katika mchezo wa Ligi Kuu Bara kimezidi kuwaamsha mabosi wa timu hiyo, ambayo kwa sasa inapambana kukinasua mkiani baada ya kufukuzia saini ya mshambuliaji Mghana, Eric Okutu. KenGold inayoburuza mkiani mwa msimamo na pointi zake sita baada ya kucheza michezo 15, ikishinda mmoja, sare mitatu…

Read More