Straika Azam anukia Kagera Sugar

Kagera Sugar ipo katika hatua za mwisho kumchukua mshambuliaji wa Azam FC, Adam Adam kwa mkopo. Kagera kwa sasa ipo katika mikakati ya kuongezea nguvu kikosi chake kutokana na ripoti ya Kocha Melis Medo iliyotoka hivi karibu. Awali Mwanaspoti iliripoti benchi la ufundi la timu hiyo linataka kusajili mashine nne mpya dirisha dogo lililofunguliwa Jumapili…

Read More

Sababu ya idadi kubwa ya wanafunzi na suluhisho-3

Dar es Salaam. Utoaji elimu bila malipo inatajwa kuwa moja ya sababu ya kuwapo ongezeko kubwa la wanafunzi linaloshuhudiwa kila mwaka katika shule mbalimbali nchini. Wilaya ya Temeke ni miongoni mwa zile zilizoathiriwa na hali hiyo na kufanya baadhi ya shule kuwa na wanafunzi wengi kuliko uwezo wake. Mbali na elimu bila malipo, pia ukuaji…

Read More

Yanga pamechangamka huko… Pacome, Yao kama utani

YANGA jana ilikuwa uwanjani kumalizana na Mashujaa ya Kigoma katika Ligi Kuu Bara, lakini kuna jambo moja limefanyika kimya kimya ambalo kama taarifa hii itawafikia mashabiki wa klabu hiyo itawapa mzuka juu ya mastaa wawili wa timu hiyo, kiungo mshambuliaji Pacome Zouzoua na beki wa kulia Yao Kouassi. Nyota hao ambao Mwanaspoti liliwahi kuwahabarisha kuwa…

Read More

Hivi ndivyo Makamba alivyomng’oa Matonya Dar

Tanga. Unamkumbuka yule rais wa ombaomba aliyeshindikana kuondoka Dar es Salaam, hata pale mamlakla zilipomtaka kufanya hivyo? David Paulo au maarufu kwa jina la Matonya amefariki lakini moyoni hakuwahi kumsahau aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Yusuph Makamba. Kwa hakika kama ni mchezo, basi kwa wanaokumbuka ulikuwa wa kuvutia sana kuutazama au kusikiliza….

Read More

Maamuzi ya Fadlu yanashangaza Simba

KAMA kuna mchezaji ndani ya Simba anaamini ana namba ya kudumu katika kikosi cha kwanza basi pole yake, kwani kocha mkuu wa timu hiyo, Fadlu David amesema ataendelea kufanya mzunguko kwa wachezaji ili kutunza nishati ya mastaa kwa wingi wa mechi zilizopo mbele yao, huku akiwataka Awesu Awesu na Charles Jean Ahoua. Fadlu ametoa msimamo…

Read More

TGNP yasherehekea miaka 30 ya Beijing, yahimiza wanawake kugombea nafasi za uongozi kwenye uchaguzi ujao

MTANDAO wa Jinsia Tanzania (TGNP) umesherehekea miaka 30 ya Beijing katika kongamano la wanawake na uongozi Dar es Salaam leo huku ukihimiza umuhimu wa wanawake kuendelea kujitokeza kwa wingi  katika uchaguzi mkuu ujao kugombea nafasi mbalimbali za uongozi. Mkurugenzi wa Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) Lilian Liundi amesema wanayo furaha kuona uchaguzi wa serikali za…

Read More

MGAMBO 80 WAHITIMISHA MAFUNZO BOMBO WILAYANI SAME

Vijana askari 80 wa Jeshi la Akiba (Mgambo) wamehitimu mafunzo yao ya miezi minne yaliyofanyika katika kata ya Bombo, Tarafa ya Gonja Wilaya ya Same Mkoani Kilimanjaro, askari hao wamekula kiapo cha utii kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,tayari kufanya kazi kwa kujitolea kulitumikia Taifa kama walinzi wa usalama wa raia na mali…

Read More

TASAF WAPELEKA FURAHA KWA WANANCHI WA MDUNDWARO WILAYANI SONGEA BAADA YA KUJENGA NYUMBA ZA WAUGUZI,MADAKTARI

Na Said Mwishehe,Songea WANANCHI wa Kijiji cha Mdundwaro kilichopo Kata ya Peramiho wilayani Songea Mkoani Ruvuma wameushukuru Mfuko wa Maendeleo ya Jamii(TASAF)kwa kukamilisha Ujenzi wa nyumba za watumishi wa Zahanati ya Mdundwaro. Wamesema kukamilika kwa nyumba za watumishi wa zahanati hizo umewezesha kuwa na uhakika wa kupata huduma za afya kwani wauguzi na Madaktari wamekuwa…

Read More