Mfumo wa kielektroniki wa BoT kupunguza wateja kuonewa

Arusha. Mfumo maalumu wa kielektroniki mahususi kwa ajili ya kushughulikia changamoto na malalamiko ya wateja kwa taasisi za fedha, unatajwa kulinda wateja na kupunguza malalamiko hasa ya watoa mikopo wasiozingatia kanuni na taratibu. Aidha mfumo huo unatajwa kusaidia watoa huduma za kifedha kutoa huduma bora kwa kuzingatia kanuni na taratibu zilizowekwa. Kauli hiyo imetolewa leo…

Read More

Rais Samia kushiriki maadhimisho Chama cha Majaji Wanawake

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuongoza maadhimisho ya miaka 25 ya Chama cha Majaji Wanawake Tanzania (TAWJA). Maadhimisho hayo yatafanyika kwa siku tano kuanzia Januari 19 hadi 23, 2025 jijini Arusha. Mwenyekiti wa TAWJA, Jaji wa Mahakama ya Rufani, Barke Sehel amesema wamemuomba Rais kuwa mgeni rasmi kwenye maadhimisho hayo. Amesema siku…

Read More

Majaliwa kuzindua tuzo ya kwanza ya uhifadhi na utalii

Arusha. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kesho Ijumaa anatarajiwa kuzindua tuzo ya kwanza ya uhifadhi na utalii nchini. Imeelezwa kuwa tukio hilo linalenga kutambua mchango wa watu na taasisi binafsi zilizoleta mafanikio katika sekta hiyo muhimu nchini. Uzinduzi wa tuzo hizo za kimataifa utakaofanyika kesho Ijumaa Desemba 20, 2024 jijini Arusha, umeandaliwa na Wizara ya Maliasili…

Read More

Wataalamu dawa za usingizi, ganzi kuanza kusajiliwa

Kibaha. Baraza la Uuguzi na Ukunga nchini limeanzisha utaratibu wa kusajili wataalamu wa dawa za usingizi na ganzi, lengo likiwa kuwafahamu na kuwawezesha kutoa huduma bora kwa jamii. Kabla ya mchakato huo, wataalamu hao walikuwa wanatoa huduma bila kusajiliwa. Akizungumza na waandishi wa habari leo Desemba 19, 2024 Msajili wa Baraza la Uuguzi na Ukunga…

Read More

WP ambwaga IGP, RPC, mahakama yaamuru arudishwe kazini

Dodoma.  Mahakama Kuu, imeamuru kurudishwa kazini kwa aliyekuwa polisi mkoa wa kipolisi wa Tarime Rorya, WP 8608, Koplo Ester Mdeme, aliyefukuzwa kazi 2023 baada ya mifuko mitatu ya mchanga wenye dhahabu kutoweka. Uamuzi huo umetolewa Desemba 17, 2024 na Jaji Abdi Kagomba, kufuatilia maombi ya mapitio ya mahakama, kupinga kufukuzwa kazi yaliyofunguliwa na Mdeme dhidi…

Read More

Mvutano unazidi kuongezeka kuhusu DPR Korea, mkuu wa masuala ya kisiasa aonya Baraza la Usalama – Masuala ya Ulimwenguni

Akiwafahamisha mabalozi, Msaidizi wa Katibu Mkuu Rosemary DiCarlo alisisitiza haja ya kupunguza kasi na mazungumzo, huku pia akibainisha “dalili” kwamba DPRK inaendelea kutekeleza mpango wake wa silaha za nyuklia. “Ushirikiano wa kidiplomasia unasalia kuwa njia pekee ya amani endelevu na uondoaji kamili wa nyuklia wa Peninsula ya Korea,” alisema. Alikaribisha ofa za kushiriki katika mazungumzo…

Read More