PWANI ENDELEENI KUTANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI-MHE.NYONGO

Kutoka kulia  ni Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji Stanslaus Nyongo akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakari Kunenge wakifuatilia mada kwenye  kongamano hilo  la Maonesho ya Viwanda biashara na uwekezaji  yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa mikutano wa  Shule ya Uongozi ya Mwalimu Julius Nyerere, Kibaha. Mkuu wa Shule ya Uongozi ya…

Read More

Mauaji ya wivu wa mapenzi yanavyokatisha uhai Mwanza

Mwanza. Katika kipindi cha Januari hadi Desemba 2024, Jeshi la Polisi mkoani Mwanza limetoa taarifa ya matukio zaidi ya 12 ya mauaji yanayotokana na wivu wa mapenzi, huku wadau wakishauri njia kadhaa ya kukabiliana na mauaji hayo. Miongoni mwa matukio hayo ni yaliyotokea Desemba 14 ba 15, 2024 ambapo jeshi hilo linawashikilia wakazi wawili wa…

Read More

SERENA YAKARIBISHA SIKUKUU YA CHRISTMAS NA MWAKA MPYA NA WATOTO YATIMA DAR

TAASISI, Kampuni na Mashirika yakumbushwa kurudisha Kwa jamii kile wanachokipata kutoka kwa wateja ili waweze kuifikia jamii kwa watu wenye uhitaji kwenye Jamii inayowazunguka. Akizungumza hayo Meneja Rasilimali watu Frolentina Ninnah kutoka Hoteli ya Dar es Salaam Serena wakati wa Kukaribisha Sikukuu ya Christmas na Mwaka mpya kwa watoto yatima waliojumuika hotelini hapo amesema bado…

Read More

Mwili mwingine mmoja wa ajali ya coaster watambuliwa

Morogoro. Mwili mmoja wa marehemu wa ajali ya Coaster umetambuliwa na hivyo kufanya jumla ya miili 11 ya waliokufa katika ajali hiyo kutambuliwa huku miili minne ikiwa bado haijatambuliwa.  Akizungumza na Mwananchi mganga mkuu mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Morogoro, Dk Daniel Nkungu amemtaja marehemu aliyetambuliwa leo kuwa ni Sauda Sozigwa (35).  Dk…

Read More

Dk Biteko awaita wawekezaji kutumia fursa Mkoa wa Kagera

Bukoba. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amewaomba wafanyabiashara kutambua fursa za uwekezaji zilizopo mkoani Kagera na kuzichangamkia ili kukuza uchumi wa mkoa huo. Akizungumza wakati wa kufungua Kongamono la wafanyabishara katika tamasha la Ijuka Omuka leo Desemba 19, 2024 Dk Biteko amesema anatamani kuona wawekezaji wanazichangamkia fursa za uwekezaji zilizopo…

Read More

MTUME MWAMPOSA, NSSF NA LEOPARD TOURS WAUNGA MKONO JITIHADA ZA RC ARUSHA KATIKA SUALA LA USALAMA KWA KUWAPATIA POLISI PIKIPIKI 60.

   Na Jane Edward, Arusha. Mtume Boniface Mwamposa wa Kanisa la Arise and shine (Inuka Uangaze),Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii NSSF pamoja na Mfanyabiashara na Mmiliki wa Kampuni ya Utalii ya Leopard Tour wametoa Pikipiki 60 kwa Jeshi la Polisi Mkoani Arusha ili kuendeleza jitihada za Kuimarisha Ulinzi na usalama na kuchochea ukuaji…

Read More

Upanuzi wa Bandari Kubwa Zaidi ya Meksiko Husababisha Kengele Juu ya Uharibifu wa Mazingira – Masuala ya Ulimwenguni

Bandari ya Manzanillo, yenye usafirishaji mkubwa zaidi wa shehena nchini Mexico, inapanua vifaa vyake bila utafiti wa athari za mazingira. Credit: Colima Sostenible na Emilio Godoy (mexico) Alhamisi, Desemba 19, 2024 Inter Press Service MEXICO, Desemba 19 (IPS) – Upanuzi wa bandari ya Manzanillobandari muhimu zaidi ya Mexico katika suala la usafirishaji wa mizigo na…

Read More