Serikali kuwapima afya ya akili waajiriwa wapya

Dodoma. Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma itafanya upekuzi wa afya ya akili (psychonomic test) kwa waajiriwa wapya, lengo likiwa ni kuhakikisha wanaoingia katika ajira mpya wanakuwa na utimamu wa akili. Mbali na hilo, Serikali imekemea utovu wa nidhamu, vitendo vya rushwa, vitisho na ubabe kwa waajiri na watumishi wa umma….

Read More

MR.UK KUJENGA KIWANDA CHA MAJOKOFU PWANI

Meneja Mtendaji  wa Mr.Uk  Deo  Joachim  Kusare akionesha bidhaa ya jiko la kisasa  la gesi kwenye  maonesho  hayo anayeshuhudia ni Meneja  Masoko  wa Hoteli ya Rolex  Constancia  Makoye Na Mwandishi Wetu MKOA wa Pwani unatarajia kuwa na kiwanda cha kutengeneza majokofu hii ikiwa ni katika kukuza uchumi wa viwanda. Akizungumza na waandishi wa habari kwenye…

Read More

Ngo’s zatakiwa kufanya kazi Kwa kuzingatia maadili.

Mwenyekiti wa Bodi ya Mashirika yasiyo ya kiserikali Taifa Bi. Mwantumu Mahiza amezitaka taasisi zisizo za Kiserikali (NGOs) Mkoani Morogoro kufanya kazi zao kwa uwazi, ukweli na kujituma zaidi kwa kujua kuwa wanafanya kazi pamoja na serikali katika maeneo yao na kwa kushirikiana na madiwani, wenyeviti wa vitongoji na vijiji. Mahiza ameyasema hayo Mkoani Morogoro…

Read More

Yanga yawageukia wazee | Mwanaspoti

UONGOZI wa klabu ya Yanga ikishirikiana na wadhamini wao GSM imekabidhi rasmi kiasi cha Sh 200 milioni sambamba na mifuko ya saruji yenye ujazo wa tani 100 katika ujenzi wa makazi ya kisasa ya kuwalea wazee wenye uhitaji. Kituo hicho cha Petra Elderly kinajenga kituo cha kisasa cha kuwatunza, kuwahudumia na kunufaika na mafunzo na…

Read More

MVOMERO WATAKIWA KUANDIKA ANDIKO UJENZI WA STENDI

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais-TAMISEMI Mhe. Zainab Katimba amemwelekeza mkurugenzi wa Halmashauri ya Mvomero mkoa wa Morogoro kuandika andiko maalum la mradi wa ujenzi wa standi ya mabasi Manyinga ili kuondoa adha ya miundombinu wanayokutana nayo wananchi katika kipindi cha mvua. Mhe. Katimba ametoa maelekezo hayo baada ya kutembelea stendi hiyo na kukuta hali isiyoridhisha…

Read More