“TRA Mkoa wa Tanga yatoa shukrani kwa Walipa Kodi”

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Tanga imefanya ziara maalum ya kutembelea na kutoa zawadi kwa walipa kodi wanaotekeleza wajibu wao wa kulipa kodi kwa hiari. Lengo kuu la ziara hiyo ni kuhamasisha wafanyabiashara wengine kutambua umuhimu wa kulipa kodi kwa ajili ya kuchangia maendeleo ya taifa. Ziara hiyo ilihusisha kutembelea maeneo mbalimbali ya…

Read More

Kifo cha hakimu chasogeza mbele kesi ya Boni Yai, Malisa

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imepanga Januari 15, 2025 kuanza kusikiliza ushahidi katika kesi ya kuchapisha taarifa za uongo kwa lengo la kupotosha umma, inayomkabili meya wa zamani wa Manispaa ya Ubungo, Boniface Jacob maarufu Boni Yai. Mshtakiwa mwingine ni katika kesi hiyo ya jinai namba 11805/2024 ni Godlisten Malisa, mkazi wa…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Tunamsubiria kwa hamu Ellie Mpanzu

TULISIKIA na kuyasoma mengi kuhusu winga Ellie Mpanzu hasa kuhusu sifa zake pindi awapo uwanjani wakati huo akiichezea AS Vita Club ya DR Congo hasa uwezo wake wa kupiga pasi za mwisho na kufunga mabao. Na sifa hizo zikafanya timu zetu hapa Tanzania kushawishika kumsajili zikiamini kwamba ataongeza kitu na wakawa ni Simba ambao walifanikiwa…

Read More

Kushuka kwa dola kutapunguza bei ya bidhaa: Rais Mwiny

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema kushuka kwa thamani ya dola nchini ni faraja kubwa kwa Uchumi kwani kutapunguza ugumu wa gharama za maisha kwa wananchi. Rais Dk. Mwinyi ameyasema hayo Ikulu, Zanzibar alipozungumza na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Emmanuel Tutuba pamoja na ujumbe wake…

Read More

Laondoka Syria kwenda Libya? – DW – 19.12.2024

Wataalam wameeleza wasiwasi kwamba iwapo kambi hizo zitahamishiwa Libya, huenda hatua hiyo ikawa na athari kubwa kwa usalama katika ukanda wa Mediterrania, na hivyo kuzidisha hali ya mtikisiko wa kiusalama.  Je wanaondoka au hawaondoki Syria? Ndilo swali wachambuzi wa Mashariki ya Kati wamekuwa wakijiuliza katika siku kadhaa sasa. Kwa kuangalia picha za satelaiti na kufuatilia…

Read More

Polisi Tanzania kinara Afrika kwa weledi, lakini…

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi la Tanzania limetajwa kuwa miongoni mwa majeshi bora 10 ya Afrika kwa kwa kutumia weledi na kuheshimu haki za wananchi. Katika kigezo hicho, nchi ya Burkina Faso imeongoza ikifuatiwa na Morocco, Niger, Benin, Mali, Senegal, Tanzania, Madagascar, Mauritania na Mauritius. Mbali na kigenzo hicho, pia Tanzania imeongoza kwa wananchi…

Read More

Yusuph Mhilu bado aiota Ligi Kuu

WINGA wa zamani wa Simba anayekipiga kwa sasa Geita Gold iliyopo Ligi ya Championship, Yusuph Mhilu amesema bado anatamani kucheza Ligi Kuu Bara na anafanya kila kitu kuhakikisha anaboresha kiwango chake na kushawishi timu mbalimbali kumrejesha kwenye michuano hiyo. Mhilu alishuka Geita msimu uliopita wa Ligi Kuu Bara na hadi sasa akiwa na timu hiyo…

Read More

SERIKALI KUANZISHA IDARA MAALUM KUWAFANYIA VIPIMO VYA KISAIKOLOJIA WATUMISHI WA UMMA

NAIBU  Waziri,Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.Deus Sangu,akizungumza wakati akifunga Mkutano wa siku tatu wa wakuu wa idara za utawala na usimamizi wa rasilimaliwatu uliomalizika leo Disemba 19,2024 Mtumba jijini Dodoma. NAIBU  Waziri,Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.Deus Sangu,akisisitiza jambo wakati akifunga  Mkutano wa siku…

Read More

Kigoma yabeba ndoo ya Ujirani

Timu ya Kigoma imeifunga  Foundation Pax kwa pointi 89-82, katika mchezo wa kirafiki wa ujirani mwema,  uliofanyika  kwenye Uwanja wa Lake Side,  mkoani humo. Akiongea na Mwanaspoti kwa simu kutoka Kigoma, Katibu mkuu wa chama cha mpira wa kikapu mkoani humo, Kibonajoro Anasi alisema mchezo huo ulikuwa ni wa pili kufanyika tangu mara ya kwanza…

Read More