Jonathan Sowah kumrithi Guede Singida BS

SIKU chache tu tangu Singida Black Stars kumalizana na mshambuliaji Joseph Guede kwa makubaliano ya pande mbili, uongozi wa klabu hiyo upo hatua za mwisho kumalizana na straika Mghana, Jonathan Sowah ili kuziba nafasi ya nyota huyo wa zamani wa Yanga mwenye uraia wa Ivory Coast. Sowah anaungana na Mghana mwenzie, Frank Assinki anayecheza nafasi…

Read More

Wadau waunga mkono masomo ya Kiswahili UDSM

Dar es Salaam.  Wakati wadau wa maendeleo wakiendelea kuunga mkono matumizi ya Kiswahili nchini, wanafunzi watatu wanaofanya Programu ya Shahada ya Uzamili ya Lugha ya Kiswahili katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), wamepewa ufadhili wa masomo hayo. Hadi sasa, zaidi ya watu milioni 200 duniani wanazungumza Kiswahili ambacho kimataifa huadhimishwa Julai 7 ya kila…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: KenGold kipa wanaye, bora anajipambania

KIPA wa Kengold, Castor Mhagama ametuthibitishia hapa kijiweni ule usemi wa Mungu hakupi vyote au Mungu akikupa kilema, basi anakupa mwendo. Jamaa anaonyesha kiwango kizuri sana anapokuwa uwanjani japo timu yake kiujumla inamuangusha kutokana na wachezaji wake wengine kushindwa kucheza vizuri katika mechi zao. Unaweza usiamini ukihadithiwa ubora wa Mhagama ikiwa utaangalia msimamo wa ligi…

Read More

Usafiri wa Umma wa Kiafrika Unajitahidi Kulingana na Ukuaji wa Miji – Masuala ya Ulimwenguni

Mtaa wenye msongamano wa watu mjini Bulawayo ambapo wasafirishaji wa umma huwachukua abiria katika sehemu isiyojulikana. Credit: Ignatius Banda/IPS na Ignatius Banda (bulawayo) Jumatano, Desemba 18, 2024 Inter Press Service BULAWAYO, Desemba 18 (IPS) – Wakati idadi ya watu katika miji ya Afŕika inavyoongezeka, seŕikali zinajitahidi kutoa ufumbuzi endelevu wa uchukuzi wa umma, hali ambayo…

Read More

Sababu Lwakatare kutojitoa kinyang’anyiro uenyekiti CUF

Dar es Salaam. “Endapo nikikuta jina la Profesa Ibrahim Lipumba katika karatasi za wagombea uenyekiti najitoa.” Hii ilikuwa kauli ya aliyekuwa mgombea uenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Wilfred Lwakatare. Licha ya kutoa kauli hiyo mara mbili kwa nyakati tofauti alipozungumza na Mwananchi, Lwakatare ameshindwa kuisimamia baada ya jana Jumatano, Desemba 18, 2024 kushiriki uchaguzi…

Read More

CASINO STUD POKER ULIMWENGU WA KARATA!

Je wewe ni bingwa wa kucheza karata na umeshindikana mtaani kwako, unahisi hakuna anayekuwezea? Huu hapa mchongo mpya wa kutengeneza pesa nyingi huku unaburudika na kucheza karata zako kwenye mchezo wa kasino ya mtandaoni unaoitwa Casino Stud Poker. Casino Stud Poker ni mchezo mubashara wa poker uliotengenezwa na waandaji wabobefu wa michezo mbalimbali ya kasino…

Read More

Rasmi, Mpanzu kuanza na Kagera Sugar

KLABU ya Simba imethibitisha kwamba, kila kitu kuhusu usajili wa Elie Mpanzu ndani ya kikosi hicho kimekamilika, hivyo ni rasmi sasa yupo tayari kuanza kuitumikia timu hiyo katika mchezo ujao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Kagera Sugar utakaochezwa Jumamosi hii Desemba 21, 2024 kwenye Uwanja wa Kaitaba mkoani Kagera. Septemba 30 mwaka huu, Simba…

Read More