Lukuba: Outsiders tulizingua wenyewe | Mwanaspoti

MWEKAHAZINA wa  UDSM Outsiders, Rama Lukuba ameshindwa kujizuia na kusema kilichoiua timu hiyo na kushindwa kubeba ubingwa wa ligi ya kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) mwaka huu, ni wao tu. Akiongea  na Mwanasposti katika viwanja vya Donbosco Upanga,  Lukuba alisema nafasi waliyopata mwaka huu haiwezi ikajirudia tena. Alisema timu hiyo ilikuwa na kikosi…

Read More

Mwili wa Ulomi wafikishwa kanisani kwa ajili ya kuagwa

Dar es Salaam. Mwili wa aliyekuwa mfanyabiashara Daisle Ulomi, aliyefariki dunia kwa ajali umefikishwa katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Madale Betheli  kwa ibada ya kuagwa. Kwa mujibu wa Jeshi la Polisi, Ulomi aliyekuwa anafanya biashara ya fedha kupitia mitandao ya simu alipata ajali Desemba 11, 2024 saa 7:55 mchana eneo…

Read More

Polisi yamtaka Morrison afike kituoni Mbweni

JESHI la Polisi limetoa ufafanuzi baada ya aliyekuwa mshambuliaji wa zamani wa Yanga na Simba, Bernard Morrison, kulituhumu jeshi hilo kituo cha Mbweni kuwa linachukua rushwa, likimtaka staa huyo kufikia kituo hapo. Juzi Morrison raia wa Ghana, alisambaza taarifa katika mitandao ya kijamii akikituhumu kituo cha Polisi Mbweni kuwa polisi wake wanachukua rushwa na wanafanya…

Read More

Bolt yatoa tahadhari dhidi ya safari za nje ya mtandao kwa madereva na abiria wakati huu wa msimu wa sikukuu

Jukwaa linaloongoza kwa huduma ya usafiri nchini Tanzania Bolt, limetoa tahadhari kali kwa abiria na madereva kujiepusha na safari za nje ya mtandao. Tahadhari hii inakuja kama sehemu ya dhamira inayoendelea ya Bolt ya kuhakikisha usalama wa abiria na madereva kwenye jukwaa lake. Usafiri unaopangwa nje ya mtandao wa Bolt uhatarisha usalama mkubwa kwa madereva…

Read More

Mwili wa Tendwa waagwa, Kikwete aeleza alivyopigiwa simu

Dar es Salaam. Mwili wa John Tendwa aliyewahi kuwa Msajili wa Vyama vya Siasa nchini umeagwa leo, huku waombolezaji akiwamo Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakieleza namna alivyoanzisha uhakiki wa vyama vya siasa. Wameeleza uhakiki huo ulipoanzishwa baadhi ya vyama havikuukubali lakini leo ndiyo uhai wa vyama vyote. Tendwa ambaye mwili wake utazikwa kesho Desemba 20,…

Read More

Dar City imejipanga | Mwanaspoti

DAR City kwa sasa ndiyo habari ya mjini kwenye mchezo wa mpira wa kikapu na katika kuhakikisha inazidi kuimarika, kimya kimya imeshusha majembe wapya kwa ajili ya msimu ujao wa mashindano itakayoshiriki. City ambao ni mabingwa wa Ligi ya Kikapu ya Taifa (NBL), iliwasajili wachezaji hao mapema na tayari wameshaichezea kwenye michuano ya Afrika Mashariki….

Read More