Mpango tata wa kutoa chango kwa mifugo Kenya kuanza Januari – DW – 19.12.2024

Hata hivyo, mjadala kuhusu utekelezaji wa zoezi hilo umeibua hisia kali, huku baadhi ya madaktari wa mifugo na wafugaji wakipendekeza usitishwe, kutokana na wasiwasi kuhusu uingiliaji wa wanasiasa, ulioathiri imani ya wananchi kwa zoezi hilo.  Waziri wa Kilimo na Mifugo nchini Kenya, Dakta Andrew Karanja, ametangaza kuwa mpango wa kuwachanja mifugo utazinduliwa kama ilivyopangwa mapema…

Read More

Israel yashambulia miundombinu ya Wahouthi Yemen – DW – 19.12.2024

Kulingana na vyombo vya habari vya Israel, mabaki ya kombora lililodunguliwa yalianguka karibu na mji mkuu Tel Aviv na kuharibu vibaya shule moja. Hata hivyo msemaji wa jeshi la Israel amesema hakukuwa na kifo chochote kilichoripotiwa kufuatia tukio hilo, lakini ameongeza kuwa lau lisingezuiliwa, basi kungetokea maafa. Waasi wa Kihouthi husema wanafanya mashambulizi yake dhidi ya…

Read More

Banda avunja mkataba Baroka | Mwanaspoti

BEKI Mtanzania, Abdi Banda amevunja mkataba na Baroka FC ya Afrika Kusini ikiwa miezi mitatu tangu ajiunge na timu hiyo inashiriki Ligi ya Championship. Nyota huyo mara ya kwanza alijiunga na Baroka akitokea Simba Julai 12, 2017 na sasa amerejea tena baada ya awali dili lake la kujiunga na Singida Black Stars ya Ligi Kuu…

Read More

Mstaafu anapofarijika pale jamii inapoonyesha kumjali

Wakati mstaafu akijiandaa na kujipa moyo akisubiri nyongeza ya shilingi elfu hamsini aliyoongezwa kwenye pensheni yake ya ‘Laki si pesa’ baada ya miaka 20 na anayotegemea iingie mfukoni mwake mwishoni mwa ‘Njaanuari’, anafarijika kuona angalau jamii yake inamuunga mkono kwenye malalamiko yake kuhusu taabu zinazomkabili. Maoni hayo ya wananchi anayasoma kwenye mitandao ya kijamii lakini…

Read More

Yanga, Mashujaa pointi tatu ngumu

Hakuna timu inayoweza kuvuna pointi tatu kirahisi wakati Yanga itakapoikaribisha Mashujaa FC leo katika Uwanja wa KMC Complex, Mwenge kuanzia saa 10:00 jion Timu zote mbili zimeonyesha kuwa na safu za ulinzi ambazo hazifungiki kirahisi jambo ambalo linalazimisha kila upande kuhakikisha unakuwa na mipango mizuri ya kushambulia ili iweze kupata pointi tatu leo. Yanga katika…

Read More

Serikali imepiga hatua katika usimamizi na uhifadhi wa mazingira licha ya changamoto zinazojitokeza.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi Hamad Yusuf Masauni amesema Serikali imepiga hatua katika usimamizi na uhifadhi wa mazingira licha ya changamoto zinazojitokeza. Ameyasema hayo Desemba 18, 2024 alipokuwa kwenye ziara ya kikazi Zanzibar na kuongeza kuwa ushirikiano wa viongozi wa Ofisi ya Makamu wa Rais umeleta tija…

Read More