Ulega ataka kasi ya kijeshi ujenzi miradi ya dharura ya barabara

Dar es Salaam. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega ameagiza Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads) kufanya kazi usiku na mchana ili kukamilisha miradi ya dharura inayotekelezwa. Ulega ametoa maagizo hayo kwenye mkutano uliohusisha menejimenti na mameneja wa Tanroads wa mikoa yote nchini, uliofanyika mjini Dodoma Desemba 18, 2024. Amesema miradi ya dharura inapaswa kushughulikiwa kidharura. “Fanyeni…

Read More

Ateba amsaka Rupia akiizamisha Kengold

Mshambuliaji wa Simba, Lionel Ateba amebakisha mabao mawili tu kumfukia kinara wa ufungaji kwenye Ligi Kuu ya NBC, Elvis Rupia baada ya jana kuiongoza timu yake kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Kengold, katika Uwanja wa KMC Complex, Dar es Salaam. Mshambuliaji huyo raia wa Cameroon, aliibuka shujaa wa Simba baada ya kuifungia…

Read More

Mabadiliko ya Mabadiliko Yataokoa Sayari katika PerilIPBES – Masuala ya Ulimwenguni

Mwanamke wa Malagasi akitayarisha samaki kwenye ufuo wa Lavanono kusini kabisa mwa Madagaska. Ripoti ya Mabadiliko ya IPBES inapendekeza kwamba kanuni za usawa na haki; wingi na ujumuishaji; uhusiano wa heshima na wa usawa wa asili ya mwanadamu; na kujifunza na vitendo vinavyobadilika vinaweza kufikia mabadiliko ya mabadiliko. by Busani Bafana (windhoek) Alhamisi, Desemba 19,…

Read More

TRC yaongeza treni ya abiria Kilimanjaro, Arusha

Moshi. Kufuatia wingi wa abiria wanaokwenda mikoa ya Kaskazini hususan Mikoa ya Kilimanjaro na Arusha msimu huu wa sikukuu za mwisho wa mwaka, Shirika la Reli Tanzania (TRC) limeongeza safari moja ya treni ya abiria kuelekea mikoa hiyo. Treni hiyo itaanza safari zake kutoka Mkoa wa Dar es salaam kwenda Kilimanjaro Jumamosi Desemba 21, mwaka…

Read More

CUF wagawana mbao – Mwanahalisi Online

PROFESA. Ibrahim Lipumba, ametangazwa mshindi wa kiti cha uenyekiti ndani ya Chama cha Wananchi (CUF). Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Washindani wake watatu, Hamad Masoud Hamad, Maftaha Nachuma na Willifred Lwakatare, wamegoma kuyatambua matokeo ya uchaguzi huo. Soma MwanaHALISI baadaye. About The Author Continue Reading

Read More