Ni muda wa kupanga, kuanza safari ya 2025

Wakati mwaka mpya unapokaribia, wananchi wanapaswa kufikiria mbinu za kuboresha hali zao ya kiuchumi, huku wakijifunza kutokana changamoto za mwaka uliopita. Kupitia bajeti nzuri, kuwekeza, kupunguza madeni na kupata elimu ya kifedha, kila mmoja anaweza kuanza mwaka mpya kwa mafanikio makubwa.Kwa mujibu wa wataalamu, Desemba ni kipindi cha sherehe na furaha, lakini pia ni wakati…

Read More

Adebayor aona kitu Ligi Kuu Bara

WINGA wa Singida Black Stars, Victorien Adebayor kwa namna alivyoifuatilia Ligi Kuu Bara, amesema ameuona ushindani ambao mchezaji anayejituma unamjengea heshima mbele ya wadau wa soka.  Adebayor alijiunga na timu hiyo akitokea AS GNN ya kwao Niger aliyojiunga nayo Januari mwaka huu kwa mkopo kutoka Amazulu FC ya Afrika Kusini. Mechi yake ya kwanza Adebayor…

Read More

WALIMU WA AWALI NA MSINGI WAPATA MAFUNZO YA TEHAMA

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Dkt. Charles Mahera amesema katika zama hizi za maendeleo ya Sayansi na Teknolojia, Uhitaji wa matumizi ya TEHAMA katika ufundishaji na ujifunzaji ni hitaji muhimu na lisiloepukika kwa ajili ya kurahisisha ufanisi katika utoaji Elimu bora. Ameyasema hayo leo Disemba 18, 2024, akimwakilisha katibu Mkuu Prof…

Read More

Guede aanika kilichomponza | Mwanaspoti

STRAIKA wa zamani wa Yanga aliyekuwa akikipiga Singida Black Stars kabla ya kutemwa mapema wiki hii, Joseph Guede amefunguka sababu zilizomwondoa ndani ya kikosi hicho, huku akishindwa kufichua kama kuna dili lolote jipya nchini alilolipata. Guede alijiunga na Singida mwanzoni mwa msimu huu kwa mkataba wa mwaka mmoja akitokea Yanga aliyoitumikia kwa miezi sita kabla…

Read More