Kisa Mpanzu… Simba wakuna vichwa

JANA Ellie Mpanzu hakuanza na wala hakuwa katika benchi la kikosi cha Simba kilichovaana na Ken Gold wakati wa pambano la Ligi Kuu Bara, tofauti na majigambo ya mabosi wa Msimbazi mwamba huyo angeanza kuonekana mara baada ya dirisha dogo la usajili litakapofunguliwa, huku ikielezwa kilichomzuia. Simba ilimsajili Mpanzu tangu Septemba mwaka huu muda mchache…

Read More

Yanga vs Mashujaa ngoja tuone, hawa kukosekana

YANGA iliuhama Uwanja wa Azam Complex, uliopo Chamazi baada ya kufungwa mechi mbili mfululizo dhidi ya Azam FC na Tabora United na leo itacheza kwa mara ya kwanza mechi ya Ligi Kuu Bara kwenye Uwanja wa KMC Complex, ikiikaribisha Mashujaa kutoka Kigoma. Yanga ilianza kutibuliwa rekodi ya kucheza mechi nane mfululizo ikishinda bila kuruhusu bao…

Read More

Diarra ashtua Yanga, Maxi, Chama majanga

YANGA imekuwa ikipitia kipindi kigumu kwa siku za karibuni baada ya kukosa matokeo mazuri kwenye mechi zake huku Ligi ya Mabingwa Afrika ikiburuza mkia Kundi A baada ya kukusanya pointi moja ikishuka dimbani mara tatu. Watetezi hao wa Ligi Kuu Bara na washindi mara nyingi wa taji hilo walilobeba mara 30, ukiachana na matokeo ya…

Read More

Zelensky aomba washirika wa Ulaya kuwasaidia kwa umoja – DW – 19.12.2024

Kiongozi huyo wa Ukraine alikuwa katika makazi rasmi ya Katibu Mkuu wa NATO Mark Rutte kwa ajili ya mkutano wa kujadili mustakabali wa Ukraine, wakati Donald Trump anakaribia kurejea madarakani. Kwenye mkutano huo ulioandaliwa na Rutte, walijadiliana pia kuhusu dhamana ya usalama nchini Ukraine, ikiwa kutafikiwa makubaliano ya kusitisha mapigano, vyanzo vimeliambia shirika la habari…

Read More

Morocco awapa mchongo mpya Bacca, Job

UKUTA wa Yanga kwa sasa kuna mabeki wawili wa kati wa maana Ibrahim Abdullah ‘Bacca’ na nahodha msaidizi, Dickson Job ambao wanaibeba timu hiyo katika michuano ya ndani na ile ya kimataifa, lakini kocha mmoja aliyeweka rekodi hivi karibuni, amevunja mkimya na kuwapa mchongo wa maana kwa mustakabali wa soka na maisha yao kwa ujumla….

Read More

Majaji watano wajifungia TCB kusaka Kahawa bora

Moshi. Mashindano ya tano ya kusaka kahawa bora Tanzania yameanza rasmi, hatua ambayo inatajwa kuwa muhimu na inayotarajiwa kuongeza upatikanaji wa bei nzuri kwa zao hilo katika masoko ya kimataifa. Mashindano hayo yanafanyika katika Idara ya Uonjaji Kahawa na Minada, ndani ya jengo la Bodi ya Kahawa Tanzania (TCB). Mashindano hayo yalianza rasmi Jumatatu Desemba…

Read More

Wadau: Fedha za Samia Infrastructure Bond zisaidie kutatua kero za barabara

Mbeya. Jumla ya Sh90 bilioni zinatarajiwa kukusanywa katika mikoa ya Nyanda za Juu Kusini kupitia mpango wa Samia Infrastructure Bond, huku wananchi wakiomba fedha hizo zielekezwe kumaliza changamoto za miundombinu ya barabara. Hata hivyo, wananchi hao wamesifia mpango huo wakisema ushiriki wa wadau na wananchi katika kununua hatifungani utaongeza kasi ya kuboresha barabara, kuinua uchumi…

Read More

La mgambo lalia TFS, wavamizi hifadhini kikaangoni

Tanga. Wakala wa Huduma za Misitu (TFS) Kanda ya Kaskazini inajiandaa kutekeleza maagizo ya Serikali ya kuwaondoa wananchi waliovamia hifadhi za misitu na kufanya shughuli za kibinadamu katika maeneo hayo. Akizungumza leo Desemba 18, 2024 katika kikao cha pamoja na wadau wa uhifadhi, Meneja wa TFS Kanda ya Kaskazini, Kamishna Mwandamizi wa Uhifadhi, James Nshale…

Read More