Unataka hela cheza sloti ya Pirates Power

Meridianbet kasino ya mtandaoni imepanga kukutajirisha Zaidi msimu huu wa kiangazi wakati ligi nyingi zikiwa zimeisha, endelea kupiga mtonyo kwa kucheza kasino ya mtandaoni na michezo ya sloti huku ukisikilizia taarifa za usajili majira ya joto. Moja ya sloti nzuri na rahisi kabisa kupiga hela pale Meridianbet ni Sloti ya Pirates Power kutoka kwa watengenezaji…

Read More

Mbowe ajibu mapigo, kutangaza hatima yake Chadema Jumamosi

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amevunja ukimya kuhusu kuendelea kugombea uenyekiti kwa mara nyingine akisema haitaji kuingia kwenye vita ya kukipasua chama hicho. Mbowe ametoa kauli hiyo leo Jumatano, Desemba 18, 2024 alipozungumza na viongozi na wanachama wa Chadema waliofika nyumbani kwake Mtaa wa Mwanamboka, Mikocheni Dar…

Read More

Bonasi ya uaminifu ya milioni 10 Meridianbet kasino

Ni wakati mwingine wa kufurahia bonasi kibao kutoka Meridianbet kasino ya mtandaoni, haswa kwa wateja waaminifu ambao wamekuwa na Meridianbet kila siku ambapo sasa watapatiwa mgao wa Milioni 10, Tsh 10,000,000/= kupitia promosheni ya Casino Loyalty Bonus Promosheni ya Casino Loyalty Bonus imeanza Ijumaa, Septemba 9, 2023, na itaendelea mpaka muda wa mwisho utakaotangazwa. Wachezaji…

Read More

Ateba aibeba Simba | Mwanaspoti

SIMBA imeanza safari ya kurejea juu ya msimamo baada ya kuichapa timu ya mkiani ya Ken Gold kwa mabao 2-0, shukrani kwa mabao mawili ya mipira ya kutengwa, kisha wekundu hao kuhama kutoka nafasi ya tatu mpaka ya pili kwenye msimamo. Ushindi huo wa Simba unaifanya kufikisha pointi 31, mbili tu nyuma ya vinara wa…

Read More

Utafiti: Wasomi hawachangamkii mikopo ya asilimia 10 isiyo na riba

Musoma. Wahitimu wa vyuo vikuu nchini, hasa vijana, wamehimizwa kuchangamkia fursa ya mikopo isiyokuwa na riba inayotolewa na Serikali kupitia halmashauri kwa lengo la kujiajiri na kuondokana na dhana potofu kwamba inawalenga watu wasiosoma. Aidha, vyuo vikuu vimetakiwa kuwekeza katika mitalaa inayolenga kukidhi mahitaji ya jamii na inayotekelezeka kwa ufanisi. Hayo yamesemwa leo Jumatano Desemba…

Read More

Gymkhana kumekucha na Lina PG Tour

RAUNDI ya tano ya Linar PG Tour inatarajiwa kuanza kesho kwenye viwanja vya Dar Gymkhana, kuhitimisha michuano ya gofu ya mwaka huu, huku mshindi akiondoka na Sh8.8 milioni. Mbali na zawadi hiyo fedha hizo, mshindi wa jumla pia atakata tiketi ya kushiriki michuano ya kimataifa jijini Dubai, Failme za Kiarabu mwakani. Kama ilivyokuwa raundi nne za…

Read More

Maagizo ya Bashungwa kwa Jeshi la Polisi

Dar es Salaam. Waziri wa Mambo ya Ndani, Innocent Bashungwa amemuelekeza Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Camillus Wambura kufanyia kazi mambo matatu kuelekea sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya. Mambo hayo yanahusu usalama barabarani, uhujumu wa miundombinu na ulinzi na usalama wa raia. Ametoa maelekezo hayo leo Desemba 18, 2024 katika hotuba kupitia vyombo…

Read More

Chirwa, Sey tumaini jipya KenGold

WAKATI kikosi cha KenGold kikiwa na mchezo jana wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Simba, mabosi wa timu hiyo tayari wameanza hesabu za kukinusuru mkiani, huku wakianza na majina makubwa ambayo wanaamini yatawasaidia kukibakisha kwa msimu ujao. Hesabu za mabosi hao zimetua kwa mshambuliaji nyota wa zamani wa Yanga na Azam FC, Obrey Chirwa ambaye…

Read More