Mpango wa kufuatilia mienendo ya viongozi wa umma kuanza mwakani

Musoma. Serikali imetangaza mpango wa kuanza kufuatilia mienendo na tabia za viongozi wa umma wanapokuwa nje ya ofisi. Imesema lengo ni kutaka kuhakikisha wanazingatia maadili na kufuata makatazo na viapo vyao kwa mujibu wa sheria. Ufuatiliaji huo, ambao unatarajiwa kuanza mapema mwaka ujao, unalenga kubaini kama matendo ya viongozi yanalingana na maadili yanayotarajiwa na Watanzania….

Read More

No Mwalimu, no Edger, no problem!

KOCHA wa Fountain Gate, Mohammed Muya amesema hana wasiwasi licha ya kuwapo kwa taarifa ya nyota wawili wa kikosi hicho wanaoongoza kwa mabao, Seleman Mwalimu ‘Gomez’ na Edger Williams kunyemelewa na klabu nyingine, bado haoni tatizo linaloweza kuikwamisha timu hiyo.

Read More

Mwambusi alia na washambuliaji Coastal

KOCHA wa Coastal Union, Juma Mwambusi amefunguka kuwa changamoto kubwa ambayo anazidi kupambana nayo katika timu hiyo ni upungufu katika safu ya ushambuliaji. Coastal juzi ilimaliza duru la kwanza wa Ligi Kuu Bara kwa kutoka sare ya 1-1 na Tabora United ugenini kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, uliopo Tabora. Matokeo ambayo imeifanya kushika nafasi…

Read More

Benki ya Akiba yaja na kampeni Twende Kidijitali

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Benki ya Akiba imezindua kampeni ya kidijitali ijulikanayo kama ‘Twende Kidijitali’ ili kutoa suluhisho la changamoto za kifedha. Kampeni hiyo iliyozinduliwa leo Desemba 18,2024 inalenga kuboresha uzoefu wa wateja kupitia suluhisho la kifedha la kisasa, haraka na la kuaminika. Kampeni hiyo inahamasisha matumizi ya huduma za kidijitali kama vile ACB…

Read More

Serikali kuchangia nusu ya bei za chanjo

Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi itaanza Mpango wa Utoaji wa Chanjo na utambuzi wa Mifugo Kitaifa kuanzia Mwezi Januari 2025 ambapo Shilingi Bilioni 28.1 zimetengwa kwa ajili ya kutekeleza mpango huo unaolenga kudhibiti na kutokomeza magonjwa ya mifugo nchini. Akizungumza kwenye uzinduzi wa Kampeni ya Chanjo za Mifugo Kitaifa uliofanyika ukumbi…

Read More