
BODI YA NBAA YATAKIWA KUFANYA MABORESHO YA MITAALA
Naibu Waziri wa Fedha Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb), akipokelewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), CPA, Pius Maneno, baada ya kuwasili kwa ajili ya halfa ya uzinduzi wa Bodi hiyo uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa APC Bunju jijini Dar es Salaam. Naibu Waziri wa…