Tanzania yakosa Bil 9.3 za nyama

  KUTOKANA na uwepo wa magonjwa ya mifugo nchini Tanzania kumesababisha kushindwa kuuza tani 882,182.8 za nyama zenye jumla ya thamani ya USD 3,705,167.76 sawa na shilingi za kitanzania bilioni 9.3 katika nchi za China, Afrika Kusini, Libya, Umoja wa Falme za Kiarabu, Mauritius na Singapore. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea). Hali hiyo imesababisha…

Read More

Madaktari Sudan hatarini, huku mfumo wa afya ukiporomoka – DW – 18.12.2024

Madaktari nchini Sudan wanakabiliana na vita mnamo wakati huduma za afya zikiporomoka. Chama cha madaktari nchini humo kimesema asilimia 90 ya hospitali katika maeneo yenye machafuko, zimefungwa.  Milio ya risasi inasikika kwa mbali, ndege za kivita zinanguruma, na makombora  yanarindima na kufanya ardhi kutetemeka. Ndiyo hali nchini Sudan kwa muda wa zaidi ya mwaka mmoja na nusu…

Read More

Simulizi ya majeruhi ajali ya Coaster Morogoro

Morogoro. Majeruhi katika ajali iliyosababisha vifo vya watu 15 na wengine saba kujeruhiwa iliyotokea usiku wa kuamkia leo Desemba 18, 2024 eneo la Mikese, mkoani Morogoro amesimulia ilivyotokea. Ajali hiyo ilihusisha basi dogo la abiria aina ya Toyota Coaster lililogongana na lori eneo la Mikese, barabara ya Morogoro – Dar es Salaam. Kwa mujibu wa…

Read More

Moto wa Chelsea waendelea kuwaka huko Uingereza

Chelsea FC kutoka pale Uingereza imeendelea kufanya maajabu ambayo watu wengi hawakutarajia kutokana na misimu miwili mibovu nyuma ambayo walipitia toka alipoondoka Thomas Tuchel. The Blues msimu wa 2021 waliweza kupata mafanikio makubwa chini ya kocha wa Kijerumani Tuchel ambaye msimu wake wa kwanza aliweza kubeba mataji makubwa ya UEFA SUPER CUP pamoja na FIFA…

Read More

Padri Mwamazi atoa ushahidi kwa njia ya video

Dar es Salaam. Aliyekuwa Padri wa Kanisa Anglikana, Dayosisi ya Dar es Salaam, John Mwamazi (91) ametoa ushahidi kwa njia ya video akiwa nyumbani kwake Mbezi Luis, kutokana na matatizo ya kiafya. Alitoa ushahidi jana Desemba 17, 2024 katika Mahakama Kuu, Divisheni ya Ardhi kwenye kesi ya ardhi iliyofunguliwa Bernardo Sepeku dhidi ya Bodi ya…

Read More

Benki ya Absa Tanzania Yakamilisha Kampeni ya Kusisimua ya “Spend & Win” kwa Droo ya Mwisho na Hafla ya Kukabidhi Gar

Benki ya Absa Tanzania imehitimisha rasmi Kampeni yake ya “Spend & Win” kwa mafanikio makubwa, kupitia droo ya tatu na ya mwisho iliyofanyika leo, ambayo imeashiria mwisho wa miezi mitatu ya msisimko, ubunifu, na zawadi kwa wateja. Hafla hiyo ilipambwa na kutangazwa kwa mshindi wa tatu na wa mwisho, Bi. Amalia Lui Shio, ambaye atapokea…

Read More

Vifo ajali ya Coaster, lori Morogoro vyafikia 15

Morogoro. Mtu mmoja amefariki dunia, na kufanya idadi ya vifo kufikia 15, kufuatia ajali ya basi dogo la abiria aina ya Toyota Coaster kugongana na lori katika eneo la Mikese, barabara kuu ya Morogoro-Dar es Salaam. Hayo yamebainishwa na Mganga mkuu Mfawidhi Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Morogoro, Daniel Ngungu leo Jumatano Novemba 18, 2024…

Read More