Kocha aanika mikakati  Kilimanjaro Stars

SIKU moja baada ya kutangaza kikosi cha wachezaji 28 kinachoingia kambini kwa ajili ya kushiriki michuano ya Kombe la Mapinduzi, Kocha Ahmed Ally amesema ni heshima kwake kukabidhiwa majukumu hayo huku akianika mikakati yake. Ahmed ambaye anainoa JKT Tanzania ameteuliwa kuiongoza Timu ya Taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ kushiriki michuano hiyo inayotarajiwa kuanza Januari…

Read More

Jinsi Kansela Olaf Scholz alivyopoteza umaarufu wake – DW – 28.12.2024

Mnamo Septemba, Scholz alikwepa swali la mwandishi wa habari kuhusu urithi wake kisiasa. “Nadhani mtu anapaswa kuwa makini na wanasiasa wanaofikiria kuhusu hilo kabla ya muhula wao kuisha,” alisema katika mahojiano na gazeti la Tagesspiegel la Berlin. Lakini baada ya kuvunjika kwa muungano wake wa vyama vitatu vya mrengo wa kati-kushoto, Scholz anaweza kuwa ameanza kujiuliza…

Read More

WACHEZAJI TIMU YA TAIFA ZA ZANZIBAR WATAKIWA KUCHEZA KIZALENDO NA KUFUATA MAELEKEZO YA VIONGOIZI WAO

Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mhe. Tabia Maulid Mwita amewataka wachezaji wa timu ya Taifa ya Zanzibar Herous, kucheza kizalendo na kufuata maelekezo yanayotolewa na viongozi wao. Ameyasema hayo katika Chuo Kikuu cha Sumait Chukwani Wilaya Magharibi ‘B’ wakati alipowatembelea wachezaji wa Timu hiyo amesema ni vyema wachezaji wakiwa na malengo mahsusi ambayo…

Read More

J3 ya mwisho 2024 kukupatia maokoto

  Je unajua kuwa unaweza kuibuka na zaidi ya Mamilioni ya pesa ukibashiri na Meridianbet Jumatatu ya mwisho ya mwaka 2024?. EPL na SERIE A leo zipo kwaajili yako. Ingia www.meridianbet.co.tz. SERIE A leo kitawaka haswa ambapo Como 1907 atamleta kwake US Lecce ambapo timu hizi zinafutana kwenye msimamo wa ligi. Yaani mwenyeji ni wa…

Read More

Viongozi wa ulimwengu wamuenzi Jimmy Carter – DW – 30.12.2024

Ikulu ya Marekani imesema Rais Joe Biden katika taarifa yake amesema, Marekani na dunia nzima imempoteza kiongozi shupavu, mwanasiasa na mfadhili wa misaada ya kibinadamu. Rais mteule Donald Trump, amesema Wamarekani wana deni kubwa la kurudisha shukurani kwa marehemu Carter. Trump ameandika kwenye mitandao ya kijamii kwamba marehemu Jimmy Carter, alikabiliana na changamoto kama zilivyokuja…

Read More

Maabara MOI yatunukiwa ithibati ya ubora kimataifa

Dar es Salaam. Maabara ya Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI), imetunukiwa cheti cha ithibati cha ubora wa kimataifa cha utoaji huduma za maabara. Cheti hicho (ISO 15189:2012) kimetolewa Oktoba 2024 na Shirika la Viwango vya Ubora wa Maabara kwa nchi za Kusini mwa Afrika (SADCAS). Hayo yamesemwa leo Jumatatu, Desemba 30,…

Read More

Azerbaijan yailazimisha Russia kukiri kudungua ndege yao

Azerbaijan. Rais wa Azerbaijan, Ilham Aliyev ameitaka Russia kukubali kuwa ilihusika moja kwa moja katika kuidungua ndege ya Shirika la Ndege la Taifa hilo iliyosababisha vifo vya abiria 38 huku wengine 29 wakinusurika. Ndege hiyo ya Shirika la Azerbaijan, namba 8432, ilipata ajali Jumatano, Desemba 25, 2024 jijini Aktau, Kazakhstan baada ya kupata changamoto ikiwa…

Read More

Mwanasheria Mkuu mstaafu Jaji Werema afariki dunia

Dar es Salaam. Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) mstaafu, Jaji Frederick Werema (69), amefariki dunia katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) akipokuwa akipatiwa matibabu. Taarifa ya kifo chake imethibitishwa na Katibu wa Halmashauri ya Walei, Parokia ya Mtakatibu Martha Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam, Salome Ntaro. Kwa mujibu wa taarifa hiyo, Jaji Werema amefariki…

Read More