Dereva bodaboda, bondia kortini tuhuma mauaji ya mtoto wa mfanyabiashara Dodoma

Dodoma. Dereva wa bodaboda, Kelvin Joshua (27) na Tumaini Msangi (28) ambaye ni bondia, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma wakikabiliwa na kesi ya mauaji ya kukusudia ya mtoto Greyson Kanyenye (6). Washtakiwa hao wakazi wa Ipagala, Jijini Dodoma, wamefikishwa mahakamani hapo leo Jumatatu, Desemba 30, 2024 mbele ya Hakimu Mkazi, Denis Mpelembwa. Akiwasomea…

Read More

Rais Georgia agoma kung’oka ikulu, mrithi wake aapishwa

Georgia. Mikheil Kavelashvili ambaye ni Rais mteule wa Georgia ameapishwa leo kuanza kulitumikia taifa hilo huku mtangulizi wake akigoma kutoka Ikulu ya taifa hilo. Mikheil ameapishwa jana Jumapili Desemba 29, 2024, katika viwanja vya Bunge la taifa hilo Jijini Tbilisi, huku waandamanaji wanaomuunga mkono Rais anayemaliza muda wake, Salome Zourabichvili wakifurika mitaani. Wakati Mikheil akiapishwa,…

Read More

Nyakua milioni moja taslimu kupitia Expanse kasino

  Shindano linafuatiliwa kwa karibu kwasasa mjini ni shindano la Expanse ambapo unaweza kuondoka na kitita cha shilingi milioni moja kupitia michezo ya kasino. Shiriki shindano hili kupitia Meridianbet ujiweke kwenye mazingira mazuri ya kua mshindi. Meridianbet wamekuja na shindano la michuano ya kasino inayofahamika kama shindano la mabingwa ambapo mshindi ataondoka na kitita cha…

Read More

Wasanii wamiminika JKCI ofa ya Rais Samia kupima moyo

  WASANII ambao wameendelea kuchangamkia fursa ya kupima moyo bure katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), iliyotolewa na Rais Samia Suluhu Hassan wamempongeza Rais kwa kuwapa fursa hiyo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea) Akizungumza  wakati wa uchunguzi wa moyo kwa wasanii hao jana, Mkurugenzi wa taasisi hiyo, Dk. Peter Kisenge…

Read More

Watuhumiwa mauaji ya mtoto Graison wafikishwa mahakamani Dodoma

Dodoma. Watuhumiwa wawili wanaokabiliwa na kesi ya mauaji ya mtoto wa Graison Kanyenye (6) wamefikishwa mahakamani jijini Dodoma leo Jumatatu, Desemba 30,2024. Mpaka sasa bado haijajulikana kesi hiyo itasomwa katika mahakama gani. Watuhumiwa wawili wanaokabiliwa na kesi ya mauaji ya mtoto wa Graison Kanyenye (6) wakifikishwa mahakamani jijini Dodoma leo Jumatatu, Desemba 30,2024. Picha na…

Read More

Bondia afariki baada ya kupigwa ulingoni

BONDIA wa ngumi za kulipwa nchini, Hassan Mgaya, amefariki dunia usiku huu muda mchache baada ya kupewa rufaa ya kupelekwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kutoka Hospitali ya Mwananyamala. Kifo cha bondia huyo kimetokea baada ya juzi Jumamosi Desemba 27, 2024 kupigwa katika pambano lililofanyika kwenye Ukumbi wa Dunia Ndogo, Tandale jijini Dar es Salaam….

Read More

Rais Dkt. Samia anamchango mkubwa kwenye Maendeleo Ruangwa

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Wilaya ya Ruangwa imepiga kasi kubwa ya maendeleo ambayo imewawezesha wakazi wa Wilaya hiyo kushiriki kikamilifu katika shughuli mbalimbali za kiuchumi. Amesema kuwa Wilaya hiyo changa ilikuwa na changamoto nyingi kwenye Sekta ya Elimu, Afya, Kilimo, Miundombinu ikiwemo barabara, maji, Umeme, Uwekezaji na hata kwenye michezo “Changamoto hizi zilitufanya…

Read More