Bashe atangaza vita dhidi ya ‘cartel’ kwenye tumbaku

Dar es Salaam. Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe, , ametoa maelekezo yenye lengo la kukabili ‘cartel’ kwenye zao la tumbaku, ikiwa ni pamoja na kuhakikisha magunia yenye thamani ya zaidi ya Sh1.4 bilioni yanarejeshwa kwa wakulima. Magunia hayo yamekamatwa katika operesheni ya Serikali kwenye mikoa ya Tabora na Shinyanga baada ya kuuzwa tena kwa wakulima…

Read More

Sasa unaweza ku-repost ‘status’ ya mtu mwingine WhatsApp

Mtandao wa WhatsApp umeendelea kuboresha baadhi ya huduma zake ambapo kwa sasa unatoa fursa kwa mtu mwingine ku-reposti status ya mtu mwingine bila kuipakua. Awali ilikuwa haiwezekani kuposti status iliyowekwa na mtu mwingine bila kuipakua, ila mabadiliko hayo yanaruhusu kwa mtu aliyetajwa (mentioned) kui-reposti tena status hiyo bila kuipakua. Huu ni mwendelezo wa maboresho ya…

Read More

Kilichomponza Kijuso hiki hapa | Mwanaspoti

ALIYEKUWA kocha wa Cosmopolitan, Mohamed Kijuso amesema sababu za kufikia makubaliano ya pande mbili ya kuachana na timu hiyo ni kutokana na mwenendo mbaya, ingawa hajashindwa kutengeneza kikosi bora kinachoweza kuleta ushindani msimu huu. Kijuso alifikia uamuzi huo ikiwa ni baada ya timu hiyo kuchapwa mabao 3-0 na ‘Chama la Wana’ Stand United Desemba 20,…

Read More

Watano wakoleza moto Chama la Wana

MABOSI wa ‘Chama la Wana’, Stand United wameanza kuboresha kikosi hicho katika dirisha hili dogo kwa kuingiza nyota wapya watano watakaoongeza morali na wale waliopo, kwa lengo la kuhakikisha timu hiyo inapanda Ligi Kuu Bara kwa msimu ujao. Timu hiyo yenye maskani mjini Shinyanga, imenasa saini ya aliyekuwa nyota wa Mtibwa Sugar, Yanga, Simba, Ndanda…

Read More

Opah: Huko China tatizo msosi tu

MSHAMBULIAJI wa Henan Jianye ya China, Opah Clement amesema chakula ni kati ya vitu vilivyompa changamoto nchini humo. Nyota huyo alijiunga na timu hiyo akitokea Besiktas iliyokuwa inashiriki Ligi ya Uturuki ambako alimaliza na mabao nane. Opah alisema kutokana na historia ya nchi hiyo kwenye milo ilimpa wakati mgumu wa kuchagua chakula hasa nyama akihofia…

Read More

Majogoro ashtukia jambo Sauzi | Mwanaspoti

KIUNGO wa Chippa United ya Afrika Kusini, Baraka Majogoro amesema unapocheza na timu kubwa kama Mamelodi Sundowns maandalizi yake yanakuwa tofauti. Mtanzania huyo ni msimu wake wa pili kucheza Afrika Kusini akisajiliwa mwaka jana akitokea KMC. Chippa United iko nafasi ya saba kwenye msimamo wa Ligi hiyo inayoongozwa na Mamelodi kwenye mechi 10 ikishinda nne,…

Read More

Rekodi zambeba Mzize Yanga | Mwanaspoti

HAZUNGUMZWI sana, lakini namba alizonazo katika timu ya Yanga zinambeba, Clement Mzize aliyegeuka kuwa mshambuliaji hatari na muhimu wa kikosi hicho kilichopo chini ya kocha Sead Ramovic. Mshambuliaji huyo mzawa licha ya kuletewa mastaa wengi wa kigeni ndani ya timu hiyo, bado ameonekana kuuwasha na namba alizonazo kulinganisha na mastaa hao anaocheza nao nafasi moja…

Read More

Fadlu: Tulieni, Mpanzu atawashangaza | Mwanaspoti

KOCHA wa Simba, Fadlu Davids amesikia kelele za mashabiki wanaomponda Ellie Mpanzu, kisha akamkingia kifua kwa kumtetea akisema wanambeza leo ndio watakaomshangilia baadaye, huku akiitaja Yanga kama moja ya timu zilizowafanya wakomae hadi sasa katika Ligi Kuu Bara ikiuaga mwaka 2024 ikiongoza msimamo. Kiungo mshambuliaji huyo mpya wa Simba kutoka DR Congo, amemaliza mechi tatu…

Read More

Okrah amzuia beki mpya Yanga

MASHABIKI wa Yanga wanamuona beki mpya aliyetua hivi karibuni kutoka Singida Black Stars, Israel Mwenda mazoezini tu, lakini bado hajaweza kuruhusiwa kuanza kucheza lakini imefahamika kwamba tatizo ni winga wa zamani wa timu aliyewahi kupita pia Simba, Augustine Okrah. Mwenda, ametua Yanga kwa mkopo kupitia dirisha dogo la usajili lililo wazi, lakini bado hajaanza kuichezea…

Read More