FANYENI UCHUNGUZI WA MACHO ANGALAU MARA MOJA KWA MWAKA

*Na Gladys Lukindo, Dodoma* Wananchi wameshauriwa kufanya uchunguzi wa macho angalau mara moja kwa mwaka ili kubaini kama kuna viashiria vya shambulizi la ugonjwa wa sukari katika jicho, Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Macho, Dkt Joshua Mmbaga, ameshauri. Dkt Mmbaga, ambaye anatoka Kliniki ya Macho ya Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) ameyasema leo wakati akiwasilisha…

Read More

Mawakili 29 kumtetea Mwabukusi Mahakama Kuu 

Dar es Saaam. Mawakili 29 wa kujitegemea wanatarajia kumtetea wakili Boniface Mwabukusi katika shauri la maombi Mahakama Kuu anayoiomba kufanya marejeo ya uamuzi uliomwengua kwenye orodha ya wagombea urais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS). Mawakili hao wanaongozwa na Mpare Mpoki, akisaidiana na Jebra Kambole, John Malya anayemwakilisha Pater Kibatala, Dickson Matata, Edward Heche na…

Read More

Rekodi kali za kuruka zinazosubiri kuvunjwa Olimpiki

WANAMICHEZO 10,500 watakuwa katika Jiji la Paris, Ufaransa kwa ajili ya michezo ya Olimpiki itakayofanyika kuanzia Julai 26 hadi Agosti 11, mwaka huu. Kwa mara ya kwanza katika historia ya mashindano hayo makubwa ya michezo duniani washiriki kutoka zaidi ya nchi 200 watakuwa nusu wanaume na nusu wanawake ambao watashindana katika michezo 32. Kwa kawaida…

Read More

Mfanyakazi wa shule akutwa amekufa kwenye tanki la maji

Arusha. Watu wawili wamefariki dunia jijini hapa akiwemo mfanyakazi wa Shule ya Msingi Shinda, Deogratius Shayo (50), ambaye mwili wake umekutwa ndani ya tanki la maji lenye ujazo wa lita 10,000. Katika tukio lingine, mfanyabiashara wa pombe kali aliyejulikana kwa jina moja la Neema (40 – 45) pia amekutwa amekufa ndani ya nyumba yake, ikidaiwa…

Read More

Isanzu, Nathwani, vitani tena Arusha Open

NI vita ya kisasi kati ya Ally Isanzu anayeongoza mbio za ubingwa wa Lina PG Tour na vijana watatu kutoka Arusha; Jay Nathwani, Garv Chadhar na Aliabas Kermali walioichafua rekodi yake ya kutoshindwa katika viwanja vya Arusha Gymkhana. Isanzu anapambana tena na vijana hao katika mashindano ya wazi yajulikanayo kama Arusha Open ambayo yanaanza katika…

Read More

Zaidi ya watu 70 wameuawa DR Congo, wakiwamo wanajeshi tisa

DR Congo. Zaidi ya watu 70 wakiwemo wanajeshi tisa wameuawa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia Congo baada ya watu wenye silaha kushambulia Kijiji cha Kinsele kilichopo kilomita 100 kutoka Mji Mkuu Kinshansa. Mauaji hayo yalitokea Jumamosi Julai 15, 2024 huku miundombinu mibovu ikitajwa na Mbunge wa Jimbo la Kwamouth, David Bisaka kuwa chanzo cha taarifa hiyo…

Read More