Nabi amtaka Mayele, amuita Kaizer Chiefs

Kocha mpya wa Kaizer Chiefs, Nasreddine Nabi ameuomba uongozi wake kuhakikisha unamsajili mshambuliaji wa Pyramids FC, Fiston Mayele kwa ajili ya kuimarisha safu yao ya ushambuliaji. Mtandao wa Kingfut wa Misri umefichua kuwa miongoni mwa mapendekezo ya mwanzo ambayo Nabi ameupa uongozi wake muda mfupi baada ya kujiunga na timu hiyo ni kuhakikisha Mayele anaichezea…

Read More

Wasaidizi wa kibinadamu wa Umoja wa Mataifa na Umoja wa Ulaya waomba msaada zaidi kwa Haiti – Masuala ya Ulimwenguni

“Wanachotaka Haiti zaidi ni amaniambayo itawaruhusu kurejea shuleni, kulima mashamba yao, kupata huduma za msingi kama vile kwenda hospitali,” Edem Wosornu, Mkurugenzi wa Operesheni na Utetezi katika ofisi ya Umoja wa Mataifa ya masuala ya kibinadamu, OCHAalisema katika taarifa ya pamoja iliyotolewa Jumatatu. Bi. Wosornu alitembelea Haiti pamoja na Lucia Elmi, Mkurugenzi wa Operesheni za…

Read More

Mchungaji Odero aonya wahubiri wanaozuia watu kutibiwa hospitali

Mwanza. Muhubiri maarufu wa Kenya, Ezekiel Odero, amewapinga baadhi ya manabii wanaozuia wagonjwa kutumia dawa na huduma za hospitali ili wapate miujiza na uponyaji kutoka kwao, huku akiwataka watumishi hao wahubiri neno la Mungu bila kupotosha. Mchungaji Odero ametoa kauli hiyo leo Jumatano Julai 17, 2024 alipozungumza na waandishi wa habari jijini Mwanza. Amesema katika…

Read More

RAIS SAMIA AWEKA JIWE LA MSINGI CHUO CHA VETA RUKWA

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt.Samia Suluhu Hassan ameweka jiwe la msingi chuo cha VETA cha Mkoa wa Rukwa kilichopo katika kijiji cha Kashai, Kata ya Momoka, wilaya ya Sumbawanga mkoani Rukwa, leo tarehe 16 Julai, 2024, ikiwa ni sehemu ya ziara yake mkoani Rukwa. Akizungumza na wananchi waliohudhuria hafla hiyo mara…

Read More

Chadema: Hatutasusia uchaguzi, tutapambana kuwatoa madarakani

Dar es Salaam. Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimehitimisha mikutano yake ya Operesheni +255 Katiba Mpya kwenye Kanda ya Kaskazini kwa kauli nzito na maelekezo kwa wanachama wake. Jana, Chadema ilikuwa na mikutano mitatu jijini Arusha, ambapo wa kwanza ulifanyika eneo la Nasai kisha kuhitimisha mkutano mkubwa wa hadhara eneo la Muriet. Katika mkutano…

Read More