Mashambulizi ya Israel kusini, katikati mwa Gaza yawaua zaidi ya Wapalestina 60, wakiwemo katika ‘eneo salama’.

Mashambulizi ya anga ya Israel yaliwauwa zaidi ya Wapalestina 60 kusini na kati mwa Gaza usiku kucha na hadi Jumanne, ikiwa ni pamoja na moja iliyopiga “eneo salama” lililotangazwa na Israel lililojaa maelfu ya watu waliokimbia makazi yao. Mashambulizi ya anga katika siku za hivi karibuni yameleta msururu wa vifo vya Wapalestina katika Ukanda wa…

Read More

Niyonzima arejea Rayon Sport | Mwanaspoti

Kiungo mkongwe Haruna Niyonzima amerejea nchini kwao Rwanda baada ya kusaini mkataba na timu yake ya zamani ya Rayon Sport. Niyonzima, amesaini mkataba wa mwaka mmoja wenye kipengele cha kuongeza mwaka mwingine kuitumikia Rayon. Hii inakuwa ni mara ya pili kwa Niyonzima kufanya kazi na Rayon, ambayo aliwahi kuitumikia msimu wa 2006-2007. Tayari Rayon, imeshamtambulisha…

Read More

Serikali yaendelea na Majadiliano na Wadau na Kampuni za Uzalishaji wa Nishati Safi ya Kupikia ili Kupunguza ya gharama za Ununuzi kwa Wananchi

Serikali imesema inaendelea na majadiliano na wadau mbalimbali zikiwemo kampuni za uzalishaji wa nishati safi ya kupikia ili kupunguza ya gharama za ununuzi wa bidhaa hiyo kwa wananchi.Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis amesema hayo katika tamasha la kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia lililoandaliwa na…

Read More

TANZANIA NA OMAN ZAJIPANGA KUKUZA BIASHARA

Balozi wa Tanzania nchini Oman, Mhe. Fatma Rajab akiwa katika mazungumzo na Waziri wa Biashara, Viwanda na Uwekezaji, Mhe. Qais bin Mohamed Al Yousuf ……………… Ubalozi wa Tanzania nchini Oman umeandaa Kongamano la biashara na uwekezaji litakalofanyika nchini Oman kuanzia tarehe 26 – 28 Septemba 2024.   Hayo yameelezwa wakati wa kikao kati ya Balozi wa…

Read More

TIC yapongezwa kuweka mazingira mazuri na wezeshi kwa ajili ya kuwavutia wawekezaji wa ndani na nje ya nchi

Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais anayeshughulikia Mipango na Uwekezaji Stanslaus Nyongo, ameeleza kuridhishwa na hatua kadhaa ambazo zimeendelea kuchukuliwa na Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), katika kuweka mazingira mazuri na wezeshi kwa ajili ya Kuwavutia Wawekezaji wa ndani na nje ya nchi. Naibu Waziri Stanslaus Nyongo ametoa Kauli hiyo jana Julai 16, 2024…

Read More

WANANCHI WAHIMIZWA KUTUMIA NISHATI SAFI ILI KUTUNZA MAZINGIRA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Naibu Katibu Mkuu (Mazingira) Ofisi ya Makamu wa Rais Bi. Christina Mndeme amewahimiza wananchi kutumia nishati safi ya kupikia na kuachana na matumizi ya nishati chafuzi inayochangia uharibifu wa mazingira. Amesema hayo wakati akizindua Kongamano la ‘Samia Nishati Safi Festival’ kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia ambayo ni rafiki kwa Mazingira na afya ya…

Read More