Tanzania na Oman zasaini mkataba wa usafiri wa anga (Basa)

Tanzania na Oman zimesaini mkataba wa usafiri wa anga (Basa) ambao utawezesha mashirika ya ndege kutoka nchi hizo, kusafiri pande zote bila kujali idadi ya safari wala ukubwa wa ndege husika. Kusainiwa mkataba huu pia kutawezesha mashirika ya ndege yasiyokuwa na ndege kuungana na yale yanayozimiliki kuendesha biashara kwa pamoja. Hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi…

Read More

Matarajio ya Kanak ya Uhuru yamepingwa Kufuatia Msukosuko wa Kisiasa katika Kaledonia Mpya – Masuala ya Ulimwenguni

Wafuasi wa Kanak Pro-Independence wakionyesha bendera ya Kanak wakati wa maandamano katika mitaa ya Noumea kabla ya kura ya maoni ya kwanza ya Uhuru wa New Caledonia mwaka wa 2018. Credit: Catherine Wilson/IPS na Catherine Wilson (noumea, new caledonia) Jumatano, Julai 17, 2024 Inter Press Service NOUMEA, New Caledonia, Julai 17 (IPS) – Imepita miaka…

Read More

WAZIRI NAPE AOMBA RADHI – MWANAHARAKATI MZALENDO

  Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amewaomba radhi Wananchi na wapenda demokrasia Nchini kwa kauli aliyoitoa akizungumza na Wafanyabiashara wa Soko la Kashai, mjini Bukoba Julai 15, 2025 ambayo imezua mjadala mtandaoni.   Akiongea leo July 17,2024 Nape amesema “Kama nilivyosema kwenye tweet yangu huu ni utani sasa nadhani umekuwa…

Read More

Hamilton, Verstappen sako kwa bako

MBIO za magari nchini Hungary wikiendi hii zinatarajiwa kuwa na msisimko wa aina yake kutokana na kampuni ya Mercedes kushinda mbili mfululizo zilizopita nchini Austria na Uingereza. Madereva George Russell na Lewis Hamilton ndio waliofanikisha ushindi huo ambao umeirudisha kwenye chati kampuni hiyo kiasi cha kuamsha vita mpya kati ya kampuni hizo pinzani kwa miaka…

Read More

WATUMISHI WA AFYA ZINGATIENI MAADILI YA KAZI KAZINI

Naibu Waiziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa anayeshughulikia Elimu Mhe. Dkt. Festo Dugange (Mb) amewataka Watumishi wa Sekta ya Afya kote Nchini kuhakikisha wanazingatia utoaji wa huduma kwa kuzingatia Maadili, Lugha nzuri na Uwajibikaji kutokana na viapo vyao vya ya kazi pindi wawapo kazini. Mhe. Dkt. Dugange ametoa maelekezo hayo…

Read More

Cheki wababe wa ngumi wanavyoviziana mikanda

BONDIA Oleksandr Usyk ndiye mwamba kwa sasa kwenye ngumi za uzito wa juu duniani (heavyweight), kufuatia kushinda na kushikilia mikanda minne ambayo ni WBC, WBA, WBO na IBF. Mwamba huyo aliichukua mikanda hiyo mikononi mwa mabondia wa Uingereza, Anthony Joshua na Tyson Fury. Awali, alianza kwa kumvua mikanda mitatu Joshua ‘AJ’ kwenye mapambano mawili mtawalia…

Read More

Nape aomba radhi kwa kauli ya ‘ushindi nje ya boksi’

Dar es Salaam. Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amewaomba radhi wananchi na wapenda demokrasia nchini kutokana na kauli aliyoitoa kuwa si lazima CCM ishinde kura kwenye boksi, bali kuna njia nyingine zikiwemo alizosema za haramu. Akizungumza kupitia video aliyorekodi, leo Jumatano Julai 17, 2024 Nape ameomba radhi wote walikerwa na…

Read More

Dar City, Tausi Royals zatibua mambo BDL

TIMU ya Dar City na Tausi Royals zimedhirisha ubora    katika Ligi ya Kikapu ya Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), baada ya kushinda mechi zilizopigwa kwenye Uwanja wa Donbosco, Osterbay, huku zikitibua mipango ya timu shindani. Dar City inayoongoza ligi kwa upande wa wanaume ikiwa na pointi 33 katika mchezo uliopigwa juzi iliifumua Vijana ‘City…

Read More