KONA YA MALOTO: Tukio la Trump linathibitisha Marekani ni ileile

John Hinckley Jr, alitekwa kihisia na mwigizaji wa Hollywood, binti mrembo, Jodie Foster. Filamu ya Taxi Driver ilipotoka mwaka 1976, Hinckley, angeitazama kila siku ili kumwona Jodie. Hinckley alimpenda sana Jodie. Haukuwa upendo wa kawaida, bali ugonjwa. Hinckley alifanya majaribio mengi ya kumsogeza Jodie karibu. Alimwandikia barua mara kwa mara. Mara chache alizungumza naye kwa…

Read More

Ubabe ubabe, hawana ugenini wala nyumbani

UNAPOSIKIA neno ugenini kama nyumbani hiyo inamaanisha kwamba popote pale mechi ikipigwa ushindi unapatikana haijalishi uchache wa mashabiki wa upande wa mshindi wala wingi wake. Katika mchezo wa ngumi, imekuwa ni kama kawaida kushuhudia mabondia wanapokuwa ugenini wanapoteza mapambano yao kwa kiwango kikubwa, ikitokea mgeni ameshinda ugenini, inakuwa stori kubwa sana. Kupoteza mapambano kwa mabondia…

Read More

Mkongwe: Shida kikapu iko hapa!

MCHEZAJI mkongwe wa timu ya taifa ya kikapu, Amin Mkosa amesema mfumo wa uendeshaji wa baadhi ya klabu nchini ndiyo unaofanya zikose udhamini. Akizungumza na Mwanasposti juzi Dar es Salaam, Mkosa alisema mchezo huo umeshindwa kuendana na ukuaji wa kikapu duniani katika mfumo wa kibiashara unaoweza kuwa chanzo cha kipato kwa wachezaji kwa sababu  timu…

Read More

CCM NI CHAMA KINACHOFUATA DEMOKRASIA NA KINASHINDA KWA HAKI- CPA MAKALLA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Chama cha Mapinduzi kinaamini kwenye Uhuru na haki na demokrasia na CCM haiwezi kuharibu ila Kitafuata taratibu zote za Uchaguzi ndo mana tunafanya Ziara Ili kueleza Mazuri yetu kwani Ilani imetekelezwa hatuna kupagawa. Kama kuna mtu anafikiri Chama cha Mapinduzi hakishindi kwa haki anajidanganya ukweli ni kwamba CCM ndo Chama kinachoshinda kwa haki kwani ndo…

Read More

TANZANIA, MAREKANI WASHIRIKIANA KUPAMBANA DHIDI YA UGONJWA WA SARATANI – MWANAHARAKATI MZALENDO

Tanzania na Marekani wamekubaliana kukabiliana na uhaba wa wataalamu, ukosefu wa miundombinu wezeshi, Vifaa Tiba hususani vya kutoa huduma za Mionzi, Takwimu, Tafiti pamoja na Ubunifu ili kuwezesha wananchi wa Afrika kupata huduma bora za Saratani bila kikwazo. Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amesema hayo leo katika kikao kilichofanyika Ikulu ya Marekani (White House)…

Read More

Simba bado pamoto… kiungo rasta asaini miwili

MWANASPOTI limepata taarifa za ndani kutoka KMC, kuhusiana na kiungo rasta, Awesu Awesu kuvunja mkataba wa miaka miwili na timu hiyo, kisha kusaini Simba ambayo imepiga kambini Misri kujiandaa na msimu ujao. Kiongozi mmoja wa KMC, amebainisha kwamba Awesu alivunja mkataba wake kwa Shilingi 50 milioni, baada ya kuona ugumu wa kuondoka akiwa bado na…

Read More

CCM, Dk Tulia wanavyojipanga kumdhibiti Sugu Mbeya Mjini

Licha ya kuwa bado kipenga hakijapulizwa, wanaotajwa zaidi kwenye kinyang’anyiro cha ubunge katika jimbo la Mbeya Mjini kwenye uchaguzi wa 2025 ni Dk Tulia Ackson atakayetetea kiti chake na aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo hilo kupitia Chadema, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’. Siasa katika jimbo hilo zimezidi kupamba moto ambapo Sugu anazidi kujiimarisha kurudi tena bungeni, tayari…

Read More

Wanamichezo saba mguu sawa Olimpiki

KAMATI ya Olimpiki Tanzania (TOC) imesema msafara wa Tanzania kwenye michezo ya Olimpiki msimu huu utaondoka nchini kwa mafungu. Kundi la kwanza litaondoka Julai 22 likiwa na mkuu wa msafara, Henry Tandau. Imesema, kundi la pili litaondoka Juali 23 na kundi la mwisho ni la wanariadha watakaoondoka Agosti 7 tayari kwa michezo hiyo itakayofunguliwa Julai…

Read More