DK. MWINYI AAHIDI KUENDELEZA MATAMASHA YA ASILI ILI KUONGEZA IDADI YA WATALII – MWANAHARAKATI MZALENDO

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali itaendelea kuyaimarisha matamasha yaliyopo ikiwemo Mwaka Kogwa na kubuni matamasha mengine mapya kwa lengo la kuongeza vivutio vya utalii nchini. Rais Dk. Mwinyi ameyasema hayo leo wakati wa akihutubia maelfu ya Wananchi waliojitokeza katika Tamasha la Mwaka Kogwa ambalo linafanyika…

Read More

Kazi ya kulazimishwa ni ya kitaasisi na ni hatari, inaonya ofisi ya haki za Umoja wa Mataifa – Masuala ya Ulimwenguni

Katika ripoti iliyotokana na mahojiano 183 na waathiriwa na mashahidi wa kazi ya kulazimishwa ambao walifanikiwa kutoroka DPRK na sasa wanaishi nje ya nchi, OHCHR alitoa ushuhuda wa mtu mmoja kwamba ikiwa mgawo wa kazi wa kila siku hautafikiwa, wafanyikazi wangepigwa na kukatwa mgao wao wa chakula. “Watu hawa wanalazimika kufanya kazi katika mazingira yasiyovumilika…

Read More

Msimamizi wanafunzi Mirerani adaiwa kujinyonga shuleni kwa kamba

Mirerani. Msimamizi wa Shule ya Awali na Msingi New Vision,  mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro Mkoa wa Manyara, amedaiwa kujinyonga kwa kutumia kamba ya manila. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Manyara, Kamishna Msaidizi Mwandamizi (SACP), George Katabazi akizungumza leo Jumanne Julai 16 2024 amemtaja msimamizi huyo kuwa ni Paulo Essau (32) mkazi wa Kitongoji cha…

Read More

Wazazi, shule hofu yazidi kutanda watoto kupotea Dar

Dar es Salaam. Hofu imezidi kuwakumba wazazi na shule jijini Dar es Salaam kutokana na matukio ya watoto kupotea. Wasiwasi umechangiwa na tukio la hivi karibuni lililotokea Mbagala wilayani Temeke, Dar es Salaam, ambako Yusra Mussa, mwanafunzi wa darasa la kwanza katika Shule ya Msingi Mbagala Kuu, aliuawa ikidaiwa baadhi ya viungo vya mwili wake,…

Read More

Rais Biden asema hatoacha kumkosoa Trump – DW – 17.07.2024

Biden ameendelea na wito wake wa kutuliza kauli za kuwatenganisha Wamarekani kutoka pande zote mbili za Democratic na Republican. Rais huyo lakini amesema kwa kufanya hivyo haimaanishi kwamba anastahili kusita kusema ukweli kumhusu hasimu wake wa chama cha Republican, Trump. Akizungumza katika Mkutano wa Chama cha Maendeleo ya Watu Weusi huko Marekani, NAACP, mjini Las…

Read More