MWENYEKITI UWT KIBAHA MJI AWAFUNDA WANAWAKE KATA YA TUMBI NA SOFU KUCHUKUA FOMU

NA VICTOR MASANGU, KIBAHA Jumuiya  ya umoja wa wanawake  (UWT) Wilaya  ya Kibaha mjini imewahimiza wakinamama  kuhakikisha wanajitokeza kwa wingi  kuchukua fomu bila ya uwoga wowote  kwa ajili ya kugombea nafasi mbali mbali za uongozi  hasusan katika kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa  ambao unaotarajiwa kufanyika mwaka huu. Hayo yamebainishwa na Mwenyekiti wa UWT Elina…

Read More

Marekani kuongeza nguvu mapambano ya saratani nchini

Dar es Salaam. Wizara ya Afya Tanzania na Taasisi ya Biden Cancer Moonshot ya nchini Marekani, wamekaa kikao cha pamoja kutathmini maeneo muhimu ya kushirikiana kupambana na  saratani nchini. Tanzania na Marekani wamekubaliana kukabiliana na uhaba wa wataalamu, ukosefu wa miundombinu wezeshi, vifaa tiba hasa vya kutoa huduma za mionzi, takwimu, tafiti na ubunifu ili…

Read More

Mikopo ilivyo mwiba nchi za Afrika Mashariki

Dar es Salaam. Miongoni mwa masuala yanayowaumiza vichwa viongozi na wananchi wa nchi za Afrika Mashariki, ni ukubwa na mwenendo wa deni ambalo limegeuka mwiba katika mataifa hayo na hivyo umakini kuhitajika katika matumizi ya fedha zinazokopwa. Kwa sehemu kubwa bajeti za kulipa madeni katika nchi hizo ama zimezidi au kukaribia nusu ya mapato yanayokusanywa…

Read More

Ma-DC Tanga wakabidhiwa magari mapya ya Sh683 milioni

Tanga. Wakati Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Dk Batilda Buriani akiwakabidhi wakuu wa Wilaya za Pangani, Kilindi na Korogwe, viongozi hao wamesema yatarahisisha kazi ya kuwahudumia wananchi. Magari hayo yaliyogharimu Sh683 milioni ni sehemu ya vyombo vya usafiri vilivyotolewa kwa Mkoa wa Tanga vikigharimu zaidi ya Sh1.1 bilioni. Akizungumza katika hafla ya kuwakabidhi magari viongozi…

Read More