Kesi unyang’anyi wa kutumia silaha yakwama tena

Dar es Salaam. Serikali imesema wanasubiri kupangiwa hakimu mwingine ili waendelee na usikilizwaji wa kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha na kuiba Sh 90milioni, inayowakabili watu watano wakiwamo waliokuwa polisi. Washtakiwa katika kesi hiyo ya jinai namba 197/2023 ni waliokuwa askari kanzu watatu mwenye namba  F 7149 D/Coplo Ramadhani Tarimo (42) maarufu kama Rasta na…

Read More

RHMT’s & CHMT’s LINDI WATAKIWA KUSHIRIKIANA

Kaimu Katibu Tawala wa mkoa wa LIndi Natalis Linuma amezitaka Timu za Usimamizi wa Shughuli za Afya za Halmashauri (CHMT’s) na mkoa (RHM) za mkoa wa Lindi kuwa na ushirikiano katika kutekeleza majukumu ya usimaizi katika huduma za Afya na kila moja awajibike katika eneo lake ili kuboresha huduma katika maeneo ya kutolea huduma za…

Read More

Simulizi ya mateso, Kombo akidai kuzungushwa mikoa 10

Dar es Salaam. Ndugu wa kada wa Chadema, Kombo Mbwana wamesimulia jinsi ndugu yao alivyokamatwa na watu wasiojulikana Juni 15, 2024 na hatimaye Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga kukiri kumshikilia. Jumapili iliyopita, Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, ACP Zacharia Bernard alitoa taarifa kwa vyombo akieleza kumshikilia Kombo kwa  tuhuma za kutumia vifaa…

Read More

ZIFF YATANGAZA FILAMU ZINAZOWANIA TUZO 2024

*Umoja wa Ulaya kuendelea kushirikiana na Tanzania katika shughuli za Sanaa na Jamii WAANDAAJI WA Tamasha la Kimataifa la Filamu la Nchi za Jahazi Zanzibar maarufu kama ZIFF ( Zanzibar International Film Festival,) wametangaza filamu 70 kati ya 3000 zilizowasilishwa ambazo zitashiriki katika kuwania tuzo za ZIFF kwa msimu wa 27,2024 utakaofanyika Agosti 1 Hadi…

Read More

Rais Kagame azungumza kwa mara ya kwanza baada ya kuchaguliwa

Kigali. Rais mteule wa Rwanda, Paul Kagame amechaguliwa tena kuongoza Taifa hilo huku akiwashukuru wananchi wa Rwanda kwa kumwamini tena kwa kumchagua. Katika uchaguzi huo uliofanyika Julai 15, 2024, Kagame aliyegombea kupitia chama tawala cha RPF, amepata jumla kura 7,099,810 kati ya kura zote milioni 9,071,157, ushindi huo ni sawa na asilimia 99.15. Amefuatiwa na…

Read More

RPC MTATIRO AZINDUA KAMPENI YA USAMBAZAJI NISHATI YA KUPIKIA NCHINI KATI YA G4S NA ORYX GAS

Kamanda wa Polisi (M) Kinondoni, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Mtatiro Kitinkwi (katikati) pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Oryx Tanzania, Benoit Araman (kushoto) na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya G4S, Imelda Lutebinga wakizindua kampeni ya ushirikiano kati ya G4S na Oryx Gas ikiwa ni  kampeni mahususi ya kusambaza Nishati Safi ya kupikia…

Read More

WAUGUZI BMH WADHAMIRIA KUFANYA KAZI KWA KUJITUMA PAMOJA ILI KUBORESHA HUDUMA ZA TIBA

Na Jeremiah Mbwambo, Dodoma Ili kuongeza ufanisi katika kutoa huduma, wauguzi wa Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) wamekubaliana kufanya kazi kwa kujituma zaidi na kama timu wanapohudumia wagonjwa. Wameyasema hayo leo wakati wakiongea na Mkurugenzi Mtendaji wa BMH, Prof Abel Makubi, katika kikao cha kufahamiana na kushirikishana mwelekeo wa Hospitali na dhana ya ubora wa…

Read More

Gen Z waliamsha tena, wamtaka Ruto ajiuzulu

Nairobi. Polisi katika Mji Mkuu wa Kenya, Nairobi leo Julai 16, 2024 wametumia gesi ya machozi kuwatawanya waandamanaji wa Gen Z wanaopinga Serikali na kumtaka Rais William Ruto ajiuzulu. Kwa mujibu wa Aljazeera, majeruhi wameripotiwa Nairobi na sehemu nyingine, huku mwandamanaji mmoja ameripotiwa kuuawa huko Kitengela. Shirika la Habari la Reuters limeripoti kwamba polisi huko…

Read More

Jinsi Upatikanaji wa Soko la Marekani Ulivyobadilisha Bahati ya Dada wawili wa Afrika Kusini – Masuala ya Ulimwenguni

Mo's Crib hutumia miundo ya kitamaduni ya Kiafrika na nyenzo endelevu kutengeneza vipande vya mapambo na vifaa vya nyumbani vya hali ya juu vilivyochochewa na asili. Maoni by Mkhululi Chimoio (umoja wa mataifa) Jumanne, Julai 16, 2024 Inter Press Service UMOJA WA MATAIFA, Julai 16 (IPS) – Kilichoanza kama hamu ya kuuza ufundi katika masoko…

Read More