RAIS SAMIA AMETOA MILIONI 105 KUKARABATI SHULE YA MVINZA NA MILIONI 365.5 ZILIZOJENGA SHULE MPYA – Mhe. Katimba

Na. James K. Mwanamyoto OR-TAMISEMI Naibu Waziri, Ofisi ya Rais-TAMISEMI (Elimu) Mhe. Zainab Katimba amesema, Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa milioni 105 zilizoboresha miundombinu ya Shule ya Msingi Mvinza na milioni 365.5 zilizojenga shule mpya ya Msingi ya Songambele ambayo imepunguza msongamano wa wanafunzi uliokuwepo katika shule ya Mvinza wilayani Kasulu. Mhe. Katimba…

Read More

MTOTO WA 12 APONA SELIMUNDU ARUHUSIWA KUTOKA BMH

Na Ludovick Eugene Kazoka, Dodoma Mtoto wa kumi na mbili (12) kupona ugonjwa wa selimundu baada ya kupandikizwa uloto katika Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) ameruhusiwa kutoka leo. Mtoto huyo kwa jina, Caris Anthony, mwenye umri wa miaka 8, amepandikizwa uloto katika Kitengo cha Upandikizaji Uloto BMH tarehe 11/06/2024. Akiongea na Kitengo cha Mawasiliano na…

Read More

Chalamila ‘aiomba radhi’ CCM kiaina

Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila ni kama amekiomba radhi Chama cha Mapinduzi (CCM) kuhusu kauli yake ya kuwataka wafanyabiashara wa Soko la Kariakoo kuacha kuandamana kwenda katika chama hicho, badala yake waende ofisi yake. Akifafanua Chalamila amesema dhamira ya kauli yake kwa wafanyabiashara hao ni kuwataka wangeandamana kwenda…

Read More

Filamu 70 zapenya Tamasha la ZIFF

Dar es Salaam. Filamu 70 zitachuana kuwania tuzo kwenye tamasha la 27 la Kimataifa la Filamu la Zanzibar (ZIFF) litakaloanza Agosti mosi hadi 4 visiwani Zanzibar. Filamu hizo ni kati ya 3,000 zilizopokewa kutoka mataifa mbalimbali duniani na 70 kupenya kwenye mchujo. Filamu za Afrika Mashariki zilizowasilishwa zilikuwa 354 ambazo kutoka Kenya ni 169, Uganda…

Read More

Mama, binti waanza kutoa ushahidi kesi ya Dk Nawanda

Mwanza. Upande wa Jamhuri katika kesi ya kulawiti inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Dk Yahya Nawanda, umeanza kutoa ushahidi wake. Kesi hiyo namba 1883/2024, imeanza kusikilizwa leo Jumanne Julai 16, 2024 mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama ya Mkoa wa Mwanza, Erick Marley. Kabla ya kuanza kusikilizwa kwa kesi hiyo, upande wa…

Read More

Utulivu Experience yaandaa Matembezi jijini Dar es Salaam

  Katibu wa Utulivu Experience Dkt.Mboni Kibelloh akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusiana na Matembezi na Tamasha jijini Dar es Salaam. Afisa Sanaa Mwandamizi wa Baraza la Sanaa nchini (BASATA) Abel Ndaga  akizungumza kuhusiana na Ushirikiano kati Utulivu Experience na Serikali jijini Dar es Salaam. Picha ya pamoja ya Utulivu Experience mara baada ya kuzungumza …

Read More

Hukumu kesi ya Ditto dhidi ya DSTV yaahirishwa

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imeahirisha hukumu ya kesi ya madai ya mwanamuziki Lameck Ditto dhidi ya Kampuni ya Multchoice Tanzania Limited, maarufu DSTV iliyokuwa itolewe leo Jumanne Julai 16. Hukumu hiyo sasa itatolewa Julai 22, 2024 mahakamani hapo mbele ya jaji mfawidhi, Salma Maghimbi. Wakili wa Ditto, Elizabeth Mlemeta…

Read More