MWALIMU NEW VISION MIRERANI AJINYONGA SHULENI
Na Mwandishi wetu, Babati MWALIMU wa shule binafsi ya awali na msingi New Vision ya mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro mkoani Manyara, amejfariki dunia kwa kujinyonga kwa kutumia kamba ya manila. Kamanda wa polisi wa mkoa wa Manyara, kamishna msaidizi mwandamizi (SACP) George Katabazi akizungumza na waandishi wa habari amemtaja mwalimu huyo kuwa ni…