SIMBA YAMPA ‘THANK YOU’ PA OMAR JOBE

  Uongozi wa klabu ya Simba umefikia makubaliano ya kuvunja mkataba na mshambuliaji Pa Omar Jobe (25) baada ya kipindi kifupi cha miezi sita. Jobe alijiunga na Simba akitoke katika timu ya Zhenis inayoshiriki Ligi Kuu nchini Kazakhstan. Baada ya kutua Unyamani ambapo alianza kwa kuonesha kiwango kizuri lakini baadae mambo yakaanza kuharibika. Akiwa Simba…

Read More

Bosi adaiwa kumuua mhudumu wa ‘grocery’ kisa 50,000

Njombe. Mhudumu wa grocery ya kuuza vinywaji Faraja Bembela (28), mkazi wa Kijiji cha Lusisi kilichopo wilayani Wanging’ombe ameuawa kwa kunyongwa na mtu anayedaiwa kuwa ni bosi wake (jina limehifadhiwa) kwa madai ya kusababisha hasara ya Sh50,000. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe, Mahamoud Banga hayo amesemwa hayo leo Jumanne Julai 16, 2024 wakati akizungumza…

Read More

Dkt. Samia Suluhu Hassan aweka jiwe la Msingi upanuzi na ukarabati wa Kiwanja cha Ndege cha Sumbawanga Mkoani Rukwa

RAIS Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan aweka jiwe la Msingi upanuzi na ukarabati  wa Kiwanja cha Ndege cha Sumbawanga Mkoani Rukwa. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akivuta kitambaa kuashiria uzinduzi vihenge na maghala ya kisasa ya kuhifadhia nafaka ya Wakala wa Taifa wa Hifadhi wa Chakula (NFRA), Kanondo,…

Read More

MZEE WA KALIUA: Ahmed Ally ni kama jeshi

KAMA kuna mtu anafanya kazi ngumu kwenye mpira wa sasa hapa nchini ni meneja wa Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Simba. Ahmed Ally ndilo jina lake. Wakati mwingine unahitaji kujifyatua akili. Wakati mwingine unaweza kuonekana kama umedata. Sio kazi rahisi kuisemea Klabu ya Simba hata kidogo. Simba iliyokosa ubingwa kwa msimu wa nne mfululizo….

Read More

TUMIENI JENGO LA HALMASHAURI KUTOA HUDUMA BORA KWA WANANCHI

Na. James K. Mwanamyoto OR-TAMISEMI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewataka watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo kutumia jengo jipya la halmashauri kutoa huduma bora kwa wananchi. Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa wito huo kwa watumishi wa halmashauri hiyo, wakati akiongea na wananchi wa Kalambo…

Read More

WAKURUGENZI TOENI FEDHA ZILIZOTENGWA KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE – DKT.DUGANGE – MWANAHARAKATI MZALENDO

  Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Dkt. Festo Dugange amewaagiza Wakurugenzi wa Halmashauri zote Nchini kuhakikisha wanatoa fedha zote zilizotengwa kwa ajili ya utekelezaji wa afua za lishe kama zilizopangwa katika bajeti.     Akifungua Mkutano wa mwaka kwa maafisa lishe wa mikoa na halmashauri nchini leo…

Read More

Mzee wa miaka 63 auawa Mbozi, anyofolewa viungo vya mwili

Mbozi. Mkazi wa Kijiji cha Nambizo kilichopo Wilaya ya Mbozi mkoani Songwe, Kuminya Sambo (63) ameuawa na watu wasiojulikana huku viungo vya mwili wake ikiwamo miguu na mkono vikiwa vimenyofolewa na mwili kutelekezwa pembeni mwa barabara. Baadhi ya ndugu wa marehemu pamoja na majirani wamesema mauaji ya mzee huyo aliyekuwa akiishi peke yake, yamewashitua huku…

Read More

WAZIRI WA KILIMO AFANYA ZIARA, AKAGUA MAGHALA YA NFRA

WAZIRI wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe (Mb) amefanya ziara ya ukaguzi katika maghala ya Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) yaliyopo eneo la Mazwi, Sumbawanga mjini, mkoani Rukwa tarehe 16 Julai 2024.  Katika ziara hiyo, Bw. Marwa Range, Meneja wa Kanda ya Sumbawanga – NFRA alieleza kuwa uwezo wa kuhifadhi nafaka za mahindi…

Read More

Djokovic maji ya shingo ‘grand slam’

KAMA hatasimama kidete, basi madogo janja Jannik Sinner na Carlos Alcaraz watamchelewesha sana kama sio kufuta nafasi yake ya kuweka rekodi mpya ya dunia ya mataji 25 makubwa ya tenisi (Grand Slam) anayoisaka supastaa wa tenisi, Novak Djokovic. Djokovic mambo sio mambo mwaka huu kwani ameshindwa kubeba taji lolote kubwa katika yale matatu makubwa ya…

Read More