TANESCO KUKATA UMEME MIKOA 15 KESHO JUMATANO – MWANAHARAKATI MZALENDO
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawatangazia wateja wake kuwa kutakua na katizo la umeme. Sababu ya katizo ni kuzimwa kwa njia kuu ya kusafirisha umeme ya msongo wa kilovoti 220 kutoka Msamvu, Morogoro hadi Dodoma (SGR) ili mkandarasi wa Shirika la Reli Tanzania (TRC) kufanya kazi zilizokuwa zimebaki kwenye vituo vya treni vya msongo…