Pesa ipo mechi za kirafiki leo

Michuano mikubwa mbalimbali imemalizika sasa ni mechi za kirafiki za kujiandaa na msimu mpya ambapo timu kibao leo zipo dimbani na ODDS KUBWA za kijanja zimeshawekwa ndani ya Meridianbet. Ingia na uanze kubeti sasa. FC Copenhagen ya Denmark itakipiga dhidi ya Sdenderjyske ambapo mechi hii imepewa ODDS 1.44 kwa 4.80. Mwenyeji amemaliza nafasi ya 3…

Read More

KATIBU MKUU SAMAMBA AKUTANA NA UJUMBE WA MAREKANI

Dodoma Katibu Mkuu Wizara ya Madini Mhandisi Yahya Samamba, ameupokea ujumbe wa Serikali ya Marekani kupitia Ubalozi wake nchini na kufanya kikao kifupi cha utambulisho ambapo ujumbe huo umeeleza kusudio la kufika Wizarani. Akizungumza katika kikao hicho kifupi, kilichofanyika leo Julai 16, 2024, Mhandisi Samamba ameueleza ujumbe huo kuhusu mpango wa Wizara kuhuisha Mpango Mkakati…

Read More

Durant kumpa namba Tatum | Mwanaspoti

KATIKA hiyo timu ya Taifa ya Marekani ya mchezo wa kikapu (Team USA) kuna shughuli pevu ya wachezaji unaambiwa, kuelekea michuano ya Olimpiki nchini Ufaransa ambapo imejaa mastaa unaowajua wa Ligi ya Kikapu Marekani (NBA). Kuanzia LeBron James, Steph Curry, Jayson Tatum, Anthony Edwards, Anthony Davis, Kevin Durant, Jrue Holiday na Joel Embiid ambao ndani…

Read More

Kasino ya ushindi ni Hot Rush Both Ways 

Kasino Imetiki Huko! Kutana na mchezo wa Kasino ya Mtandaoni Hot Rush Both Ways ni mchezo wa sloti kutoka kwa mtoa huduma Redstone ambao unaleta ushindi mkubwa kwa miti ya matunda, ukiwa na mfumo wa malipo wa ubunifu. Kama wewe ni mpenzi wa michezo ya sloti bomba, usikose kujaribu maajabu makubwa ya Hot Rush Both…

Read More

Serikali yasisitiza wananchi wajengewe uwezo kuhimili nishati safi ya kupikia

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Khamis Hamza Khamis amezitaka taasisi mbalimbali kutengeneza mazingira yatakayowezesha wananchi kuhimili matumizi ya nishati safi ya kupikia ili kuiokoa Tanzania na uharibifu wa mazingira. Ripoti ya mwaka jana iliyotolewa na Shirika la Afya Duniani (WHO) inaonyesha watu bilioni…

Read More

Shirika la Marekani lamjibu Ruto sakata la Gen Z

Nairobi. Shirika la Ford Foundation la Marekani linalofanya kazi zake nchini Kenya limekanusha tuhuma za Rais William Ruto kuwa wanahusika kufadhili maandamano ya Gen Z. Taarifa rasmi iliyotolewa leo Jumanne Julai 16, 2024 na Mkurugenzi wa mawasiliano wa shirika hilo, Tolu Onafowokan inasema hawahusiki na maandamano yao, pia sera yao haiwafungamanishi na upande wowote. “Hatujafadhili…

Read More