Wakongwe Simba waanza kujipata | Mwanaspoti

MASTAA wa kikosi cha Simba wamesema wana kila sababu ya kufanya makubwa msimu ujao kutokana na viongozi, benchi la ufundi kufanya kile kinachowapa mwanga wa kuhakikisha wanakuwa bora. Simba ipo nchini Misri kujiweka tayari kwaajili ya msimu mpya huku mastaa hao wakiweka wazi kuwa msingi ni nidhamu na ushirikiano ili kufikia malengo yao 2024/25. Wakizungumza…

Read More

RPC MTATIRO AZINDUA KAMPENI YA USAMBAZAJI NISHATI YA KUPIKIA NCHINI KATI YA G4S NA ORYX GAS – MWANAHARAKATI MZALENDO

Mkurugenzi mtendaji wa Oryx Tanzani, Mr. Benoit Araman(kushoto) akimsikiliza jambo Mkurugenzi mtendaji wa G4S, Imelda Lutebinga(kulia)wakati wa hafla ya uzinduzi wa kampeni ya ushirikiano kati ya G4S na Oryx Gas ya kusambaza Nishati Safi ya kupikia kwa kampuni ya G4S nchi nzima, Lengo likiwa kuunga mkono kampeni ya kumtua mama kuni kichwani iliyoanzishwa na Rais…

Read More

Umoja wa Mataifa unatoa salamu za 'mafanikio makubwa' huku wabunge wakiunga mkono marufuku ya ukeketaji – Global Issues

Wabunge katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi walipiga kura siku ya Jumatatu kukataa muswada ambao ulitaka kubatilisha sheria ya mwaka 2015 dhidi ya tabia hiyo hatari, ambayo inahusisha kukata au kuondoa baadhi au sehemu zote za nje za uzazi za wanawake. Ukeketaji unafanywa zaidi kwa watoto wachanga na wasichana wadogo. Inaweza kusababisha uharibifu mkubwa wa…

Read More

Baerbock afanya ziara Afrika Magharibi – DW – 16.07.2024

Ziara hii ni juhudi za kuongeza ushirikiano wa Ujerumani na mataifa ya Afrika Magharibi, ili kuzuia kuenea kwa ukosefu wa usalama kunakoshuhudiwa kwa sasa katika mataifa ya ukanda wa Sahel. Akizungumza mjini Dakar, Baerbock amesema usalama wa Afrika Magharibi na maendeleo ya siku zijazo ni mambo yanayohusiana kwa karibu na usalama na maendeleo ya Ulaya….

Read More

TANROADS YATEKELEZA AGIZO LA WAZIRI MKUU

Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS), imetekeleza kwa vitendo maagizo yaliyotolewa na Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu ya kuchagua na kuendesha mafunzo ya vinara wa ufuatiliaji na uthamini katika taasisi za umma. Mmoja wa Waratibu wa mafunzo ya vinara yaliyotolewa na wawezeshaji kutoka ofisi ya Waziri Mkuu, hivi karibuni Bw. Elirehema Saiteru, Meneja…

Read More