maandamano yarejea tena kudai uwajibikaji – DW – 16.07.2024

Hali ni ya wasiwasi katikati ya jiji la Nairobi ambako maduka yamefungwa na idadi ya watu wanaotembea sio ya kawaida. Polisi wanapiga doria na baadhi ya barabara zimefungwa. Polisi wamefyatua makopo ya gesi ya kutoa machozi ili kuwatawanya waliokuwa wanakusanyika. Moshi ulihanikiza na baadhi wanaonekana wakiosha nyuso zao. Pikipiki kadhaa zimetelekezwa wakati wa mshike mshike…

Read More

Sintofahamu Manula akibaki Dar timu ikiwa Misri

SINTOFAHAMU inaendelea kwa kipa wa Simba, Aishi Manula aliyekuwa anadaiwa angejiunga na Azam FC iliyoweka kambi Morocco, lakini ajabu ni kwamba bado yupo jijini Dar es Salaam. Taarifa kutoka ndani ya Simba zinasema haitaki kumtoa Manula kwenda Azam kwa mkopo isipokuwa inataka kumuuza, jambo linaloonekana ni gumu kufanyika. Mmoja wa viongozi wa timu hiyo amesema…

Read More

RPC Mkama ataka wananchi kutunza miondombinu reli SGR

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama amekaa kikao na Polisi Kata wanao zihudumia Kata zilizopitiwa na mradi wa treni ya mwendokasi (SGR) na kupanga Mikakati ya Ulinzi wa miundombinu ya reli hiyo. Akiongea na Polisi Kata hao wenye vyeo vya Wakaguzi na Wakaguzi Wasaidizi ,Rpc Mkama amesema, Morogoro imepitiwa kwa kiasi kikubwa…

Read More