Mtuhumiwa wa mauaji ya wanawake 42 adakwa

Dar es Salaam. Polisi nchini Kenya wamethibitisha kumkamata mshukiwa wa mauaji ya kutisha na kutupa miili katika dampo la Kware eneo la Embkasi jijini Nairobi. Mshukiwa huyo ametajwa kama mauaji anayepanga kuwaua watu na hajali uhai wa binadamu. Polisi imesema mshukiwa huyo amekiri kuwaua wanawake 42. Mkurugenzi wa Uchunguzi Makosa ya Jinai, DCI Mohamed Amin…

Read More

Wavuvi walia na kukosa vyoo mwaloni, Kafyofyo

Mbeya. Wavuvi, wafanyabiashara na wananchi waliopo pembezoni mwa Ziwa Nyasa katika mwalo wa Kafyofyo wilayani Kyela mkoani hapa wameonyesha hofu ya kupata magonjwa ya mlipuko kufuatia kukosa vyoo na kujikuta wakijisaidia kando na ndani ya ziwa hilo. Watu zaidi ya 3,000 wanafanya shughuli zao pembezoni mwa mwalo huo, awali walikuwa wakitumia choo kimoja chenye matundu…

Read More

Rais Samia aanza Ziara ya Kikazi Mkoani Rukwa kwa kuzindua Hospitali ya Nkasi – MWANAHARAKATI MZALENDO

RelatedPosts MHANDISI MAHUNDI ATEMBELEA KAMPUNI YA VODACOM TANZANIA UMOJA WA WANAWAKE WIZARA YA FEDHA WAZINDULIWA Rais Samia ahitimisha ziara yake Katavi kwa Kuzungumza na Wananchi wa Mpimbwe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Taarifa kuhusu ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Nkasi kutoka kwa Mhandisi Neophitus Ntalwila kabla…

Read More

MHANDISI MAHUNDI ATEMBELEA KAMPUNI YA VODACOM TANZANIA – MWANAHARAKATI MZALENDO

NAIBU Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi ametembelea makao makuu ya kampuni ya Vodacom Tanzania kwa lengo la kujifunza namna kampuni hiyo inavyoendesha shughuli zake pamoja na kutatua changamoto wanazokutana nazo wateja wao. Akizungumza wakati wa kikao chake na uongozi wa Vodacom kilichofanyika leo jijini Dar es Salaam, Mhandisi…

Read More

Mganga wa kienyeji jela miaka 30 kwa kubaka mgonjwa wake

Morogoro. Mganga wa kienyeji, Selemani Hamza (39), mkazi wa Kijiji cha Katindiuka wilayani Kilombero Mkoa wa Morogoro amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela, baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kumbaka binti wa miaka 16 aliyepelekewa ili amtibie. Hukumu hiyo imetolewa leo  Jumatatu Julai 15, 2024 na Hakimu Samwel Obasi wa Mahakama ya Wilaya ya…

Read More

Mabasi mapya 100 kupoza makali mwendokasi

Dar es Salaam. Jiji la Dar es Salaam kwa sasa liko ‘bize’ kiasi cha kama ni mgeni unaweza kudhani linajengwa upya. Maeneo mengi vumbi linatimka kutokana na ujenzi wa barabara. Barabara kadhaa, zikiwamo za Nyerere, Uhuru, Sam Nujoma, Bibi Titi na Kawawa watumiaji wanapita kwa shida, lakini hawalalamiki kwa kuwa kinachoendelea kitakuja kuwa na manufaa…

Read More