JAMII YAASWA KUENZI MILA YA UNYAGO ILI KULINDA MAADILI
Mkufunzi Dkt. Lovemore Mazibuko (kushoto) akimsikiliza mmoja wa washiriki aliyekuwa akitoa ufafanuzi wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo wadau wa utamaduni kuhusu namna ya kuandaa orodha ya kitaifa ya urithi wa utamaduni usioshikika yaliyoandaliwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) yaliyowakutanisha wataalamu kutoka wizara za Utamaduni na Sanaa Tanzania…