Gomez atua Fountain Gate | Mwanaspoti

TIMU ya Fountain Gate imekamilisha uhamisho wa aliyekuwa mshambuliaji nyota wa KVZ ya Zanzibar, Seleman Mwalimu ‘Gomez’. Nyota huyo aliyewahi kuzichezea timu mbalimbali ikiwemo FGA Talents inayoshiriki Ligi ya Championship amejiunga na kikosi hicho kwa mkopo ili apate nafasi ya kucheza akitokea Singida Black Stars ambayo imemsajili kwa mkataba wa miaka mitatu. “Ni kweli tumemtoa…

Read More

Wananchi Paje wataka ushirikishwaji ujenzi uwanja wa ndege

Unguja. Wananchi zaidi ya 400 katika Kijiji cha Paje Mkoa wa Kusini Unguja, wameingiwa wasiwasi kuhusu kuhamishwa eneo hilo,  kupisha ujenzi wa uwanja wa ndege wakidai hawajashirikishwa. Wasiwasi huo unatokana na kuwapo mpango wa Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi kutaka kujenga uwanja wa ndege katika eneo hilo. Wamesema wamekuwa wakiona wataalamu wanaenda…

Read More

RC MAKONDA AKABIDHI MILIONI 38 KWA WASHINDI WA SAMIA MOTOCROSS CHAMPIONSHIP – MWANAHARAKATI MZALENDO

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda amekabidhi jumla ya fedha taslimu shilingi Milioni 38 za Kitanzania kwa washindi wa vipengele mbalimbali vya mashindano ya pikipiki ya Samia Motocross Championship. Kelvin Gabriel ndiye aliyetangazwa kama mshindi wa jumla kwenye mashindano hayo akiondoka na fedha taslimu shilingi Milioni kumi za Kitanzania ambapo Mkuu wa…

Read More

Trump asimulia alivyookolewa, asema alipoteza viatu

New York. Mgombea urais wa Chama cha Republican, Donald Trump saa chache tangu ashambuliwe kwa risasi akiwa anahutubia, amesimulia namna alivyopoteza viatu wakati akiokolewa. Tovuti ya CNN imeripoti kuwa viatu hivyo vilipotea wakati anatolewa jukwaani na maofisa wa ‘Secret Service’ Trump ambaye ni Rais wa zamani wa Taifa hilo, alishambuliwa akiwa anahutubia Jumamosi Julai 13,…

Read More

ZRA inavyojipanga kudhibiti rushwa Zanzibar

Unguja. Wakati Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA) ikitunukiwa tuzo ya udhibiti vitendo vya rushwa, imesema hatua hiyo imeongeza morali kuendelea kupambana na vitendo hivyo ili kufikia malengo ya kukusanya zaidi ya Sh800 bilioni mwaka 2024/25. Tuzo hiyo imetolewa na Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu  Uchumi Zanzibar (Zaeca), ikiwa ni kutambua mchango wa ZRA katika…

Read More

Chonji, wenzake wahukumiwa kifungo cha maisha jela

Arusha. Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imewahukumu kifungo cha maisha jela washtakiwa watano baada ya kutiwa hatiani kwa makosa ya kusafirisha dawa za kulevya aina za heroini gramu 5,309.57 na kokeni zenye uzito wa gramu 894.28. Hukumu imetolewa Julai 11, 2024 na Jaji Awamu Mbagwa, aliyesikiliza kesi hiyo ya jinai namba 58/2023. Waliohukumiwa…

Read More

AKIRI KUUA WANAWAKE 42 KENYA – MWANAHARAKATI MZALENDO

  Polisi nchini Kenya wamemkamata mwanaume mmoja anayefahamika kama Jomaisi Khalisia (33) ambaye wanadai amekiri kuwaua wanawake 42 tangu 2022, akiwemo mkewe .   Msako wa mtuhumiwa huyo ulianza baada ya mauaji ya kutisha ya wanawake tisa ambao miili yao iliyokatwakatwa ilipatikana kwenye machimbo ambayo yanatumika kama jalala.   Mshukiwa amekamatwa katika baa mapema Jumatatu…

Read More