TCU yafungua dirisha udahili masomo elimu ya juu

Dar es Salaam. Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imetangaza kufunguliwa kwa dirisha la kwanza la udahili kuanzia Julai 15 hadi Agosti 10, 2024, ikiwataka wahitimu kuomba moja kwa moja kwenye vyuo wanavyopendelea. Tangazo hilo linawahusu jumla ya wahitimu 111,056 waliofaulu mtihani wa kidato cha sita mwaka 2024 pamoja na wenye stashahada na wengine wenye…

Read More

Rc Malima ataka wanawake wakiislam kuwa mfano kwenye jamii

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Malima amewataka wanawake wa Kiislam Mkoa wa Morogoro kuwa na mfano bora katika Jamii kwa kutenda matendo mema pamoja na malezi bora kwa watoto. Rc Malima ameyasema hayo wakati akihutubia Baraza la Wanawake wa Waislam Mkoa Morogoro lililofanyika katika Msikiti mkuu wa ijumaa Bomaroad uliopo.mjini Morogoro. Malima amesema…

Read More

Masaibu ya kisheria ukiishi kama kimada

Mwanza. Gladness Mujinja, aliyeishi na Sospeter Makene kama mume na mke kwa miaka 17, amepoteza haki ya mgawanyo wa mali walizochuma kwa miaka 17 baada ya Mahakama kutamka ndoa yao ilikuwa batili, kwani aliishi kama kimada. Hayo yamo katika hukumu ya Mahakama ya Rufani Tanzania katika rufaa iliyokatwa na Makene dhidi ya Gladness, akipinga mahakama…

Read More

Banda aisikilizia Richards Bay | Mwanaspoti

BEKI Abdi Banda licha ya timu aliyoichezea msimu ulioisha Richards Bay kumpa nafasi ya kuongeza mkataba wa mwaka mmoja baada ya kumalizika wa awali, bado akili yake inawaza kusaka changamoto mpya. Katika mahojiano yake na Mwanaspoti, Banda alisema timu ya Richards Bay inasubiri uamuzi wake, lakini anajipa nafasi ya kuwaza zaidi changamoto mpya katika timu…

Read More

Mbunge Gairo ataka wananchi Kuunga Mkono Serikali

Mbunge wa jimbo la Gairo Shabiby amesema kuwa kukamilika kwa shule mpya ya Sekondari Amali kutaleta tija ya kukuza maendeleo kwenye sekta elimu ya katika Kata hiyo Akizungumza katika mkutano maalumu wa uzinduzi wa utekelezaji wa miradi jimboni humo amesema kuwa zaidi ya Bilioni moja na milioni 600 (Bil 1.6) zimetolewa ili kuhakikisha shule hiyo…

Read More

Trump asimulia alivyookolewa na FBI, asema alipoteza viatu

New York. Mgombea urais wa Chama cha Republican, Donald Trump saa chache tangu ashambuliwe kwa risasi akiwa anahutubia, amesimulia namna alivyopoteza viatu wakati akiokolewa. Tovuti ya CNN imeripoti kuwa viatu hivyo vilipotea wakati anatolewa jukwaani na maofisa wa Shirika la Ujasusi la Marekani (FBI). Trump ambaye ni Rais wa zamani wa Taifa hilo, alishambuliwa akiwa…

Read More

Farid amkabidhi Chama namba 17, Mkude achukua 20

IMEFICHUKA kwamba, Mwamba wa Lusaka, Clatous Chama, msimu ujao atavaa jezi namba 17 ndani ya kikosi cha Yanga baada ya kutua katika timu hiyo akitokea Simba, huku Jonas Mkude naye akichukua namba 20. Chama ambaye amejiunga na Yanga akiwa mchezaji huru baada ya mkataba wake na Simba kumalizika, amekabidhiwa jezi hiyo na Farid Mussa. Taarifa…

Read More

Jafo akutana na sekta binafsi, wazungumza

Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Selemani Jafo aheihakikishia sekta binafsi ya Tanzania kuwa atakua mtetezi wa kwanza ilikuhakikisha ushindani wa sekta ya viwanda na biashara za kada tofauti. Mhe. Dkt. Jafo amesema “Mimi Jafo nitakua mtetezi wenu wa kwanza kuhakikisha mnafanya vizuri, hatuwezi kujenga uchumi wa Nchi kama ninyi (sekta binafsi) hamfanyi vizuri”….

Read More