Urusi kuifaidisha Tanzania na kukuza ushirikiano wa kibiashara

Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni ,Sanaa na Michezo Gerson Msigwa amewaalika wawekezaji kutoka nchini russia wafanyabiashara na sekta binafsi ya Urusi kuja kuchangamkia fursa nyingi ambazo bado hazijatumika Tanzania ikiwemo gesi. Akifungua mkutano baina ya wafanyabiashara wa Tanzania na Russia kwenye kongamano la kibiashara ambalo limepewa jina Russia Day(Siku ya Russia).alisema kuna maeneo mengi…

Read More

REA KUPELEKA UMEME VIJIJI 151 AMBAVYO HAVIJAFIKIWA NA TANESCO.

WAKALA wa Nishati Vijijini (REA), imesema wanaendelea kusambaza nishati vijijini ambapo vijiji 151 ambavyo havijafungwa umeme Tanzania Bara, vinatarajiwa kukamilika kabla ya Septemba mwaka huu huku Vijiji vilivyosalia vikiwa kwa wakandarasi kwaajili ya kukamilishwa ikiwa ni kati ya vijiji 12,318 vilivyopo nchini na kati ya hivyo 12,167 zimeshafungwa umeme. Hayo yamesemwa Julai 13,2024 Jijini Dar…

Read More

Donald Trump aponea chupuchupu kwenye jaribio lililolenga kumuua

Mamlaka ya shirikisho inachunguza tukio la Rais wa zamani Donald Trump kupigwa risasi katika jaribio la mauaji katika mkutano wa uchaguzi huko Butler, Pennsylvania, Jumamosi. Mawakala wa Secret Service walivamia Trump na kujibanza nyuma ya jukwaa. Damu ilionekana kwenye sikio lake la kulia la Trump wakati maajenti wakimzunguka na kumtoa jukwaani hadi kwenye gari lililokuwa…

Read More