TANGA UWASA KUNUFAIKANA NA MRADI WA “GREEN SMART CITY SASA” – MWANAHARAKATI MZALENDO
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Tanga (Tanga UWASA) kwa kushirikiana na uwakilishi kutoka Dutch Water Operator (VEi), wamesaini mkataba wa kuanza rasmi kwa utekelezaji wa mradi wa “Usalama wa Maji na uimara wa hali ya hewa kwa maeneo ya mijini nchini Tanzania (Green and smart city sasa Project). Mradi huu umelenga kuimarisha utendaji…