Siri ya PPRA kuibuka mshindi wa kwanza sekta ya udhibiti

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Mamlaka ya Kudhibiti Ununuzi wa Umma (PPRA), imesema ushindi walioupata kwenye maonesho ya 48 ya Kimataifa ya Biashara Dar es Salaam (DITF), maarufu Sabasaba unatokana na kufanya kazi kama timu na kutoa huduma bora kwa kuhudumia wateja zaidi ya 700. Katika maonesho hayo mamlaka hiyo iliibuka mshindi wa kwanza katika…

Read More

Udom kufanya tafiti zaidi kutatua changamoto kwenye jamii

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kimesema kitaendelea kufanya tafiti zaidi na kuzigeuza kuwa bidhaa zitakazoingia sokoni kwa lengo la kutatua changamoto zilizoko kwenye jamii. Akizungumza na Waandishi wa habari Mkurugenzi wa Shahada za Awali Udom, Dk. Victor Marealle, amesema wanaamini tafiti hizo zitaifikisha mbali nchi na chuo hicho. Alikuwa akizungumza…

Read More

MADINI NI MAISHA NA UTAJIRI – MWANAHARAKATI MZALENDO

Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) limetoa elimu kwa Umma namna litekeleza Vision 2030 Madini ni Maisha na Utajiri yenye lengo la kufanya utafiti wa madini wa kina kwa asilimia 50 ya nchi nzima ifikapo mwaka 2030. Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi Mtendaji wa STAMICO , Dkt. Venance Mwasse wakati ametembelea Maonesho ya 48 ya Biashara…

Read More

JIWE LA SIKU: Yanga inavyotukumbusha zama za BBC, MSN

MOJA ya mijadala mikubwa nchini kwa sasa ni kitendo cha Yanga kumsajili aliyekuwa kiungo wa Simba raia wa Zambia, Clatous Chota Chama ‘Triple C’ aliyetua ndani ya timu hiyo baada ya kukitumikia kikosi cha wekundu kwa miaka sita. Chama ameondoka ndani ya kikosi cha Simba alichojiunga nacho Julai Mosi, 2018 akitokea Klabu ya Lusaka Dynamos…

Read More