Manabii wacharuka, wawajibu wanaowasema mitandaoni

Dar es Salaam. Baadhi ya manabii na mitume wamefunguka wakati wa ibada wakijibu watu wanaozungumzia huduma wanazozitoa. Wiki hii kumekuwa na maoni tofauti kwenye mitandao ya kijamii kuhusu huduma zinazotolewa na viongozi hao wa dini zikihusishwa na kujipatia ukwasi mkubwa. Mwananchi pia imeandika mfululizo wa ripoti maalumu kuhusu huduma hizo, zikihusisha utozaji wa fedha ili…

Read More

Nonga: Huyu Guede anajua sana!

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Yanga ambaye kwa sasa ni kocha wa viungo wa Mbeya City, Paul Nonga amemtaja Joseph Guede kuwa ni mchezaji bora kutokana na kuwa vitu vitatu muhimu kwa wachezaji wanaocheza eneo hilo la ushambuliaji. Guede aliletwa na Yanga ameitumikia timu hiyo kwa miezi sita na baadaye kupewa mkono wa kwaheri na sasa…

Read More

Simba yamganda Mpanzu, Onana aitwa Dar

BAADA ya AS Vita kupindua meza dakika za jioni katika dili la winga Mkongomani Elie Mpanzu na Simba, wekundu hao wa Msimbazi wameendelea kumganda staa huyo hadi kieleweke. Awali Simba na Mpanzu walikubaliana kusaini mkataba wa miaka miwili lakini baadae vigogo wanaommiliki Mpanzu akiwemo moja ya matajiri wapya wa AS Vita, aliingilia kati dili hilo…

Read More

Yanga yashtuka, Chama, Dube, Baleke waondolewa!

YANGA ni kama imeshtuka vile. Baada ya kuiona Simba ipo kambini Ismailia, Misri na kusikia Azam FC nayo imeondoka nchini kwenda Morocco kuweka kambi ya maandalizi ya msimu ujao, nao fasta wameamua kufanya jambo. Mabosi wa klabu hiyo wakishirikiana na kocha Miguel Gamondi, wameamua kuwaondoa mastaa wa timu hiyo akiwamo Jean Baleke, Clatous Chama na…

Read More

Afisa wa ngazi ya juu aonya juu ya kudhoofika kwa usalama wa kikanda kufuatia kujiondoa kutoka kwa jumuiya ya kiuchumi ya Afrika Magharibi na Mali, Burkina Faso, Niger – Masuala ya Ulimwenguni

Leonardo Santos Simão, ambaye anaongoza Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Afrika Magharibi na Sahel (UNOWAS), aliiambia Baraza la Usalama kwamba kwa “kuikataa ECOWAS”, serikali tatu zinazoongozwa na kijeshi “zitakuwa zinaacha manufaa muhimu” ikiwa ni pamoja na ushirikiano wa kikanda, uhuru wa kutembea, ushirikiano wa usalama na uchumi jumuishi wa kikanda, na kujiumiza wenyewe na…

Read More

Wasaidizi wa kibinadamu wa Umoja wa Mataifa wanaripoti uhamishaji mkubwa na mahitaji muhimu katika Jiji la Gaza – Masuala ya Ulimwenguni

Alisema Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEFShirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) na washirika wengine walikuwepo kwenye safari. “Timu ilisema wale waliokimbia makazi yao wanahitaji haraka chakula, maji, huduma ya afya na ulinzi,” Bw. Dujarric alisema wakati wake. muhtasari wa kila siku kutoka New York. “Pia walishuhudia jinsi…

Read More

HISPANIA MABINGWA EURO 2024, YAILAZA UINGEREZA 2-1

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV TIMU ya Taifa ya Hispania imefanikiwa kunyakua kombe la Euro 2024 mara baada ya kuichapa Uingereza mabao 2-1 katika fainali ambayo imepigwa kwenye dimba la Olympiastadion (Berlin) nchini Ujerumani. Hispania walianza kupata bao kupitia kwa Nico Williams dakika ya 47 kipindi cha pili akipokea pasi kutoka kwa nyota Yamal. Dakika…

Read More