Arusha wakiwasha Lina PG Tour

WACHEZAJI wa Gofu wa Jiji la Arusha wameibuka vinara kwa kutwaa tuzo nyingi kwenye raundi ya tatu ya michuano ya Lina PG Tour kwa wa kulipwa na ridhaa. Elisante Lembris na Nuru Mollel walishika nafasi ya kwanza na ya pili mtawalia wakiwaacha wapinzani wao zaidi ya mikwaju 15. “Sikucheza vizuri katika raundi mbili za awali,…

Read More

Uchaguzi, amani vyasisitizwa maadhimisho miaka 85 ya TAG

Dar es Salaam. Waumini wa Kanisa Tanzania Assemblies Of God (TAG) wameadhimisha miaka 85 tangu kuanzishwa kwa kanisa hilo, huku wakisisitizwa kulinda amani na kushiriki kikamilifu kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa baadaye mwaka huu. Ibada ya maadhimisho hayo imefanyika leo Jumapili, Julai 14, 2024 kwenye Uwanja wa Uhuru jijini hapa, ikihudhuriwa na maelfu ya…

Read More

Kikapu Mbeya visingizio kibao Taifa Cup

TIMU ya mchezo wa Kikapu ya Wanawake Mkoa wa Mbeya imesema kuwakosa baadhi ya nyota wake, kucheza pungufu na kuwatumia wachezaji wasio na uzoefu ndio iliwapa wakati mgumu kutofikia malengo. Timu hiyo ambayo ndio iliwakilisha mkoa huo baada ya wanaume kushindwa kushiriki kwa madai ya ukata, iliishia nusu fainali kwa kufungwa na Mara ambao walitwaa…

Read More

SHILINGI BILIONI 4.4 KUJENGA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA YA DKT SAMIA SULUHU HASSAN MKOANI RUVUMA

Serikali imetoa zaidi ya Sh.bilioni 4.4 kwa ajili ya kujenga shule ya Sekondari ya wasichana yenye michepuo ya masomo ya Sayansi wilayani Namtumbo mkoani Ruvuma. Shule hiyo imepewa jina la Dkt Samia Suluhu Hassan,imepangiwa kuchukua wanafunzi 610 wakiwemo wa kidato cha kwanza(138)kidato cha tano(265) na wanafunzi wa kidato cha sita(210)kwa mwaka wa masomo 2024. Mkuu…

Read More

Baada ya miaka 17, aliyedai talaka aambulia patupu

Mwanza. Gladness Mujinja, aliyeishi na Sospeter Makene kama mume na mke kwa miaka 17, amepoteza haki ya mgawanyo wa mali walizochuma kwa miaka 17 baada ya Mahakama kutamka ndoa yao ilikuwa batili, kwani aliishi kama kimada. Hayo yamo katika hukumu ya Mahakama ya Rufani Tanzania katika rufaa iliyokatwa na Makene dhidi ya Gladness, akipinga mahakama…

Read More

Uwekezaji ulivyobadili Bandari ya Malindi

Unguja. Baada ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) kuingia makubaliano na kampuni ya kuendesha Bandari ya Malindi, imeanika mafanikio yaliyopatikana ndani ya kipindi cha miezi tisa. Katika mafanikio hayo, asilimia 16 ni ongezeko la ushushaji wa mizigo na mapato kwa asilimia 17. Septemba 18, 2023, SMZ kupitia Shirika la Bandari Zanzibar (ZPC), iliingia makubaliano…

Read More

Utata polisi ikimsaka anayedaiwa kupotea Dar

Dar es Salaam. Wakati Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam likitangaza kufuatilia taarifa iliyosambaa kwenye mitandao ya kijamii ya kupotea Adinani Hussein Mbezi (32), mkewe Pendo Simon anadai anashikiliwa na jeshi hilo. Kwa mujibu wa taarifa za mitandao ya kijamii, Adinani maarufu Adam, mkazi wa Kinyerezi, Mtaa wa Faru alipotea Septemba 12,…

Read More

Rais Biden alaani shambulio la Trump

Washington. Rais Joe Biden amelaani jaribio la mauaji dhidi ya Rais wa zamani Donald Trump kwenye mkutano wa hadhara,  akisema kuwa  hakuna nafasi ya ghasia za kisiasa nchini Marekani “Huu ni ugonjwa,” amesema. “Hatuwezi kuruhusu hili litokee. Hatuwezi kuunga mkono hili.” Biden amesema alijaribu kumpigia Trump, lakini alikuwa na madaktari wake. “Inaonekana anaendelea vizuri,” amesema….

Read More