Biashara za Sh3.6 bilioni zafanyika Sabasaba

Dar es Salaam. Masoko mapya tisa ya bidhaa za Tanzania yamepatikana kupitia maonyesho ya biashara ya kimataifa ya Dar es Salaam (DITF), wakati biashara ya zaidi ya Sh3.75 bilioni ikifanyika ndani ya siku 16. Miongoni mwa nchi zilizoonyesha nia ya kununua bidhaa hizo ni Afrika Kusini, Uturuki, Saudi Arabia na Malawi. Kufuatia hilo Rais wa…

Read More

Makalla; Takwimu za maji Dar ziakisi uhalisia wa huduma

Dar es Salaam. Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla ameelekeza zinapotajwa  takwimu za upatikanaji wa maji Mkoa wa Dar es Salaam, ziakisi uhalisia wa upatikanaji wa huduma hiyo kwa wananchi. Sambamba na hilo, amesisitiza kila mwananchi katika mkoa huo anaposikia takwimu za upatikanaji wa maji, ajione ni sehemu ya…

Read More

Janga la dhoruba ya mchanga na vumbi, sasisho la kibinadamu la Mali, kusogeza elimu mtandaoni – Masuala ya Ulimwenguni

Kuzindua yake ripoti ya kila mwaka ya dhoruba ya mchanga na vumbi Shirika la Hali ya Hewa Duniani (WMO) alisema usimamizi mbaya wa mazingira umefanya matukio yao kuwa mabaya zaidi. Katibu Mkuu wa WMO Celeste Saulo alitoa wito wa kuongezwa umakini kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa. “Ushahidi wa kisayansi unaonyesha kuwa shughuli za…

Read More

ACT-Wazalendo, CCM wanavyonyosheana vidole uvunjifu amani Zanzibar

Unguja. Wakati Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi akieleza kuna kauli zimeanza kutolewa kuashiria uvunjifu wa amani kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, Chama cha ACT-Wazalendo kimesema hakuwezi kuwa na amani kama hakuna haki. ACT-Wazalendo imesema licha ya viongozi wakuu kuhubiri amani, lakini matendo yanayotendeka yanaonesha hakuna nia ya dhati ya kuleta amani visiwani humo….

Read More

KAMPUNI YA SUKARI YA KILOMBERO YAUNGANA NA WAPANDA MLIMA KUTOKA NCHI 8 KWENYE KAMPENI YA ‘KILIMANJARO EXPEDITION’ HUKU CHAPA YA BWANA SUKARI IKITARAJIWA KUPANDISHWA KWENYE KILELE CHA MLIMA

 Kampuni ya Sukari ya Kilombero, kwa kushirikiana na wapanda mlima 17 kutoka nchi 8 tofauti wanaoiwakilisha ABF Sugar na Illovo Sugar Africa, wameanza safari ya kupanda mlima Kilimanjaro, kilele kirefu zaidi barani Afrika, kama sehemu ya Kampeni yao ya ‘Kilimanjaro Expedition’.  Kundi hilo lilianza safari yao asubuhi na mapema siku ya jumamosi kwa kupitia njia…

Read More

Caravans T20: Alliance watakata ligi ya kriketi

ALLIANCE Caravans iliitia adabu Balakshina Foundation kwa ushindi mnono wa mikimbio 64 katika mchezo wa mizunguko 20 uliofanyika jijini Dar es Salaam, Jumamosi. Alliance ilishinda kura ya kuanza na kutengeneza mikimbio 149, huku ikipoteza wiketi tisa na kuwapa kazi nzito Balakshina kuzifikia alama hizo na kupata mikimbio 80 tu baada ya wote kutolewa. Kassim Nasoro…

Read More