32 wajitokeza REA kuondoa mafuta ya vidumu vijijini

Dar es Salaam. Watu 32 wamejitokeza kuomba mikopo ya Sh75 milioni inayotolewa na Serikali kwa ajili ya kujenga vituo vya mafuta vya gharama nafuu maeneo ya vijijini, ikiwa ni hatua ya kutokomeza uuzwaji wa mafuta ya dizeli na petroli kwenye vidumu. Maombi hayo ambayo sasa yapo katika mchakato wa kufanyiwa tathmini, pia yanakuja wakati ambao…

Read More

MKURUGENZI MKUU NIRC AWATAKA WAKANDARASI KUSAIDIA JAMII MAENEO YA MIRADI

 NA MWANDISHI WETU, Katavi. MKURUGENZI Mkuu Tume ya Taifa ya Umwagiliji (NIRC), Raymond Mndolwa, amewataka Wakandarasi wanaojenga miundombinu ya umwagiliaji kuhakikisha wanasaidia jamii hususani maeneo yenye miradi. Mndolwa amesema hayo katika ziara ya ukaguzi na ufuatiliaji wa ujenzi wa miradi ya umwagiliaji katika kata ya Mwamkulu wilayani Mpanda mkoani Katavi. Katika ziara hiyo  alikagua na…

Read More

KenGold yawaficha mastaa Tukuyu | Mwanaspoti

WAKATI Ken Gold ikijichimbia Tukuyu wilayani Rungwe mkoani Mbeya kuanza kambi ya kujiandaa na Ligi Kuu msimu ujao, uongozi na benchi la ufundi wameeleza sababu za kujificha huko na matarajio yao. Timu hiyo ya wilayani Chunya inajiandaa kucheza Ligi Kuu kwa mara ya kwanza, ambapo tayari imemalizana na baadhi ya mastaa huku ikiendelea na usajili…

Read More

Kagame: Mara ya kwanza niliipata nafasi ya urais kama ajali

Kigali. Mwenyekiti wa Chama cha RPF Inkotanyi na Rais wa Rwanda, Paul Kagame, amesema kwa mara ya kwanza, nafasi ya urais aliipata kama ajali tu, huku akiwataka wote wanaouliza maswali kuhusu mrithi wake, waliache suala hilo mikononi mwa Wanyarwanda wenyewe. Kagame  anayegombea kiti cha urais kwa mara ya nne mfululizo, ameyasema hayo Jumamosi Julai 13,…

Read More

Gofu na Simba? Serengeti wana jibu

SIO rahisi kuelezea msisimko ambao mcheza gofu ataupata wakati akicheza gofu huku akipishana na makundi ya Simba, Chui au Twiga. Jibu sahihi litakuwa katika uwanja wa kisasa wa gofu unaoendelea kujengwa katika mbuga za Serengeti na kazi ya kuutengeneza imefikia zaidi ya asilimia 40 sasa, ikiwa ni moja ya mikakati ya ubunifu ya kuboresha michezo…

Read More

Bilioni 3.4 kujenga kiwanda cha parachichi Nyololo

Iringa. Zaidi ya Sh3.4 bilioni zinatarajiwa kutumika kwa ajili ya ujenzi wa kiwanda kipya cha parachichi katika eneo la Nyololo, Wilayani Mufindi ili kusaidia uchakataji wa zao hilo kabla ya kufika sokoni. Ujenzi wa kiwanda hicho utaongeza fursa za kiuchumi kwa wakulima wa parachichi, ambao kwa sasa wamekuwa wakitegemea wanunuzi binafsi huku baadhi wakilalamika bei…

Read More

Sh2 bilioni zailiza Mbeya City

MAUMIVU ya kushuka daraja kwa Mbeya yameanza kuuma baada ya uongozi kukiri kupata hasara ya Sh1 bilioni kwa mwaka, huku ikiapa kuwa msimu ujao wa 2024/25 ndio mwisho wa kucheza Championship. City ilishuka daraja msimu wa 2022/23, ambapo msimu uliopita ilishindwa kupanda tena ilipomaliza katika nafasi ya sita kwa pointi 37 na sasa imeanza kujitafuta…

Read More