MKURUGENZI MKUU NIRC AWATAKA WAKANDARASI KUSAIDIA JAMII MAENEO YA MIRADI – MWANAHARAKATI MZALENDO

  MKURUGENZI Mkuu Tume ya Taifa ya Umwagiliji (NIRC), Raymond Mndolwa, amewataka Wakandarasi wanaojenga miundombinu ya umwagiliaji kuhakikisha wanasaidia jamii hususani maeneo yenye miradi.   Mndolwa amesema hayo katika ziara ya ukaguzi na ufuatiliaji wa ujenzi wa miradi ya umwagiliaji katika kata ya Mwamkulu wilayani Mpanda mkoani Katavi.   Katika ziara hiyo alikagua na kutoa…

Read More

Bashe: Mazao ya wakulima kuuzwa kidijitali

Dar es Salaam. Serikali imekuja na mfumo ambao utawezesha ufuatiliaji wa moja kwa moja wa mazao yanayonunuliwa na Wakala wa Hifadhi wa chakula wa Taifa (NFRA), huku ukitajwa kuondoa kilio cha wakulima kudai kuibiwa. Mfumo huo wa kidijitali utamuwezesha mkulima kupata risiti ya mzigo wake kupitia simu ya mkononi, juu ya uzito wa mzigo husika…

Read More

RAIS DKT. MWINYI ATEMBELEA BANDA LA LATRA SABASABA

Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, ametembelea Jengo la LATRA lililopo kwenye Maonesho ya 48 ya Kimataifa ya Biashara Saba Saba na kushuhudia shughuli za Udhibiti Usafiri Ardhini zinavyofanywa na LATRA. Akitoa maelezo katika jengo la LATRA, Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano LATRA, Bw. Salum…

Read More

Usafiri wa boti Bagamoyo – Zanzibar wanukia

Bagamoyo. Huenda changamoto ya usafiri kwa wakazi wa Bagamoyo, Chalinze, Kibaha na mikoa ya jirani kulazimika kupitia Dar es Salaam pale wanapotaka kwenda visiwani Zanzibar, ikafikia ukomo hivi karibuni. Kufikia ukomo huko kunatokana na uwepo wa maandalizi ya ujenzi wa gati litakalotumika katika safari hizo kwenye bandari ya Bagamoyo. Akizungumza na Mwananchi jana Julai 12,…

Read More