TAHADHARI ZA KUCHUKUA MJAMZITO KABLA YA KULA PAPAI KATIKA KIPINDI CHA UJAUZITO – MWANAHARAKATI MZALENDO

  Mjamzito anaweza kula Papai katika kipindi chote cha Ujauzito bila kupata Madhara yoyote au Mimba yake kuharibika, endapo atafuata tahadhari husika kabla ya kula Tunda hili la Papai.   Kumekuwa na Usemi kwamba Mjamzito haruhusiwi kabisa kula Papai katika Kipindi cha Ujauzito, eti kwa sababu linaweza kusababisha Mimba kuharibika au Kujifungua Mtoto kabla ya…

Read More

Bashe: Mazao ya wakulima kuuzwa kidijitaji

Dar es Salaam. Serikali imekuja na mfumo ambao utawezesha ufuatiliaji wa moja kwa moja wa mazao yanayonunuliwa na Wakala wa Hifadhi wa chakula wa Taifa (NFRA), huku ukitajwa kuondoa kilio cha wakulima kudai kuibiwa. Mfumo huo wa kidijitali utamuwezesha mkulima kupata risiti ya mzigo wake kupitia simu ya mkononi, juu ya uzito wa mzigo husika…

Read More

TGDC Yatumia Siku 16 Kutoa Elimu ya Jotoardhi Sabasaba 2024

  Na Mwandishi Wetu Tangu juni 28, 2024 Kampuni ya Uendelezaji Jotoardhi Tanzania (TGDC) iliweka kambi katika viwanja vya Mwl.Julius Nyerere na kushiriki Maonesho ya 48 ya Biashabara ya Kimataifa Dar es Salaam maarufu Sabasaba yaliyoandaliwa na Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania TanTrade kila ifikapo tarehe 28 Juni hadi 13 Juni ya kila mwaka….

Read More

Wananchi Sengerema wataka ujenzi wa vivuko uharakishwe

Mwanza. Wananchi katika Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza wameiomba Serikali kuharakisha malipo ya ujenzi wa vivuko vya Kome III na Kivuko cha Buyangu Mbalika ili vikamilike na kutoa huduma kwa wananchi. Kauli hiyo imetolewa leo Ijumaa Julai 12, 2024 baada ya viongozi na wananchi waliotembelea maendeleo ya ujenzi wa vivuko vinavyotengenezwa na Kampuni ya Songoro…

Read More

RAIS SAMIA AITAKA WIZARA YA NISHATI KUHAKIKISHA KATAVI INAPATA UMEME WA GRIDI IFIKAPO SEPTEMBA

-Akagua njia ya umeme Tabora – Katavi na Kituo cha Inyonga-Aitaka TANESCO kuongeza kasi ya kuunganisha Wateja miradi inapokamilika -Asisitiza watanzania kutumia nishati ya umeme kujiendeleza kiuchumi Katavi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan ameitaka Wizara ya Nishati na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kuhakikisha mradi wa njia kuu…

Read More

Sababu ya Waziri Jr kuifunga Simba hii hapa

KUIPAMBANIA ndoto si kazi nyepesi. Njiani kuna uwezekano wa kukutana na milima na mabonde, lakini jambo la msingi ni kuamini siku ya kicheko inakuja, kama anavyosimulia mshambuliaji Waziri Junior jinsi ambavyo aliwahi kupata uchungu uliomfanya aweke nadhiri kwa Mungu. Junior anasema kila mchezaji ana historia ya alipotokea hadi kufikia hatua ya kujulikana mbele ya jamii,…

Read More