Samia azindua makao makuu ya Jeshi la Polisi Katavi

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amezindua jengo jipya la Makao Makuu ya Jeshi la Polisi mkoani Katavi lililogharimu Sh1.4 bilioni, huku akiagiza litunzwe ili lidumu. Samia amefungua jengo hilo leo, Jumapili ya Julai 14, 2024 ikiwa ni siku ya pili ya mwendelezo wa ziara yake ya kikazi mkoani humo aliyoianza Julai 12 na…

Read More

Talaka zinavyoathiri wanawake kumiliki ardhi Pwani-4

Katika toleo lililopita tuliangazia jinsi migogoro ya ardhi inavyoongezeka kutokana na mkanganyiko wa sheria na mianya katika usimamizi wa ardhi, huku wataalamu wakipendekeza marekebisho ya sheria na elimu ya kisheria kwa wananchi ili kupunguza migogoro hiyo. Endelea.. Kuvunjika kwa ndoa ni miongoni mwa changamoto inayotajwa kuchochea wanawake kukosa haki ya kumiliki ardhi nchini, hususani katika Mkoa…

Read More

Kijana wa miaka 20 adaiwa kuhusika shambulio la Trump, auawa

Pennsylvania. Shirika la Upelelezi la Marekani (FBI) limedai aliyehusika na shambulio la risasi kwa mgombea urais wa Chama cha Republican, Donald Trump ni kijana mwenye umri wa miaka 20. FBI ambayo imesema uchunguzi bado unaendelea, umemtaja kijana huyo kwa jina la Thomas Matthew Crooks. “Alitoka Bethel Park huko Pennsylvania eneo ambalo jaribio la mauaji lilitokea….

Read More