Francois Regis atajwa kuwa CEO mpya Simba

UONGOZI wa Simba umefikia makubaliano ya kumwajiri Uwayezu Francois Regis raia wa Rwanda kuwa Ofisa Mtendaji Mkuu wa klabu hiyo, ili achukue nafasi ya Imani Kajula anayejiandaa kumaliza mkataba mwezi ujao. Kajula ambaye ni mzoefu katika uongozi wa mpira, akiwamo kwenye Kamati ya maandalizi ya Michuano ya Afrika ya vijana chini ya umri wa miaka…

Read More

CEO MPYA WA SIMBA HUYU HAPA – MWANAHARAKATI MZALENDO

  Uongozi wa Simba umefikia makubaliano ya kumwajiri Uwayezu Francois Regis raia wa Rwanda kuwa Ofisa Mtendaji Mkuu wa klabu hiyo, ili achukue nafasi ya Imani Kajula anayejiandaa kumaliza mkataba mwezi ujao.   Kajula ambaye ni mzoefu katika uongozi wa mpira, akiwamo kwenye Kamati ya maandalizi ya Michuano ya Afrika ya vijana chini ya umri…

Read More

Hapa kazi ipo | Mwanaspoti

UKISIKIA mtego ndio huu uliofanywa na mabilionea wa Simba na Yanga. Ndio, Yanga imesajili majembe ya maana kwa gharama kubwa ili kuimarisha kikosi. Bilionea Ghalib Said Mohammed ‘GSM’ kupitia uongozi wa klabu hiyo, amemsajili Clatous Chama kutoka Simba, amemvuta Prince Dube kutoka Azam kwa gharama kubwa. Amemleta Chadrak Boka kutoka DR Congo. Amembakisha Stephane Aziz…

Read More

Sokwe  hifadhi ya Gombe watajwa kupungua

Dar es Salaam. Idadi ya sokwe katika Hifadhi ya Taifa Gombe imetajwa kupungua kutoka 150 hadi 85, kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo milipuko ya magonjwa na shughuli za kibinadamu zinazofanyika kwenye hifadhi hiyo. Kuelekea siku ya Sokwe duniani inayoadhimishwa Julai 14, kila mwaka, watafiti kutoka Taasisi ya Dk Jane Goodall (JDI) wameshauri kulindwa kwa mnyama…

Read More

RAIS DKT. MWINYI ATEMBELEA BANDA LA TTCL MAONESHO YA SABASABA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Mwinyi akipokea zawadi kutoka kwa Cecil Francis Mkurugenzi wa Miundombinu Shirika la Mawasiliano Tanzania TTCL wakati alipotembelea banda hilo leo Julai 13,2024 kwenye maonesho ya Biashara ya 48 ya Kimataifa yaliyofungwa rasmi leo na Rais huyo viwanja vya Sabasaba Barabara ya Kilwa jijini Dar…

Read More

Aussems atuliza presha Singida BS

SINGIDA Black Stars imekuwa timu ya kwanza ya Tanzania kuaga michuano ya Kombe la Kagame 2024 inayoendelea jijini Dar es Salaam baada ya juzi jioni kuchapwa tena mabao 3-1 na SC Villa ya Uganda siku chache tangu iliponyukwa 1-0 na APR ya Rwanda, lakini hilo halijamshtua Kocha Patrick Aussems. Kocha huyo wa zamani wa Simba,…

Read More