TETESI ZA SOKA ULAYA JUMAPILI 14.07.2024

Manchester City wamepokea dau la pauni milioni 25 kutoka kwa Saudi Pro League kwa ajili ya mlinda mlango wa Brazil Ederson mwenye umri wa miaka 30. (HITC) Manchester United wanataka kumuuza mlinzi wa Uswidi Victor Lindelof, 29, msimu huu wa joto na pia watasikiliza ofa kwa ajili ya kiungo wa kati wa Denmark Christian Eriksen,…

Read More

Washirika wa NATO waahidi mshikamano zaidi na Ukraine – DW – 12.07.2024

Biden alitumia jukwaa hilo kujaribu kuwashawishi Wamarekani kwamba bado anaweza kuwaongoza. Kwenye NATO bado viongozi wenzake, wanamuamini, japo wakati mwingine kwa shakashaka. Kile wasichopenda kukishuhudia ni Donald Trump kurudi madarakani. Hata kile cha kukosea majina wakati akiufunga mkutano huo, kama aliposema “Putin” badala ya “Zelensky” ama “Trump” badala ya “Kamala Harris”, hakikuchukuliwa na viongozi wenzake kama…

Read More

Aliyekuwa dada wa kazi apasua kidato cha sita

Dar es Salaam. “Ndoto yangu inaenda kutimia ila nimejifunza kwenye maisha heshimu kila mtu, kwa kwa kuwa inawezekana hatima yako imeshikiliwa na mtu usiyemfahamu kabisa”. Haya ni maneno ya Mariam Mchiwa mhitimu wa kidato cha sita katika sekondari ya wasichana Songea akiwa miongoni mwa wanafunzi waliofanya vizuri katika matokeo ya mtihani huo yaliyotangazwa leo na…

Read More

Okejepha aona mwanga Simba | Mwanaspoti

KIUNGO mkabaji mpya wa Simba, Mnigeria Augustine Okejepha amesema amefurahishwa na maandalizi ya timu hiyo yanayoendelea kambini, Ismailia Misri, huku akiweka wazi kila mchezaji kwa sasa anaonyesha anataka kukipambania kikosi hicho msimu ujao. Nyota huyo aliyejiunga na Simba akitokea Rivers United ya Nigeria, alisema licha ya ugeni wake ndani ya timu hiyo na kutozoeana na…

Read More

TRUMP ASHAMBULIWA KWA RISASI – MWANAHARAKATI MZALENDO

  Mgombea urais kupitia chama cha republican katika uchaguzi ujao nchi Marekani na Rais wa zamani Donard Trump ameshambuliwa kwa risasi kadhaa akiwa katika mkutano mjini Butler Pennsylvania.   Walinzi wake wamezunguka na kumuinua baada ya kuanguka chini huku akionekana kuvuja damu upande wa siko la kulia baada ya milio ya risasi kadhaa kusikika mkutanoni…

Read More

Miili 60 yapatikana baada ya operesheni ya Israel – DW – 12.07.2024

Hii baada ya jeshi la Israel kutangaza kusitisha operesheni yake katika eneo hilo. Huku haya yakijiri rais wa Marekani Joe Biden amesema mazungumzo juu ya mpango unaowezekana wa kusitisha mapigano “yanapiga hatua.” Soma pia: Hamas yasema haijapokea taarifa kutoka kwa wapatanishi Israel imevurumisha makombora katika mji wa Gaza kwa wiki moja mfulizo, hatua ambayo wakazi wameitaja…

Read More